Azam Fc yamshtaki "refa wa Yanga" kwa Bodi ya Ligi

Azam Fc yamshtaki "refa wa Yanga" kwa Bodi ya Ligi

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
20200623_19561485050.jpg


Kocha aliyeepusha kipigo cha Deportivo La Utopolo ameshitakiwa kwa bodi ya ligi. Bodi itende haki
 
Sisi tunajua Azam ni Mikia FC B ndiyo maana simba anaweza kufunga ha magoli ya kuotea Azam atakausha Hivi inaingia akili kwa Azam kubomoa timu yake kwa kuwatoa wachezaji muhimu kwenda simba akina Kapombe Nyoni Bocci Manula nk
 
Sisi tunajua Azam ni Mikia FC B ndiyo maana simba anaweza kufunga ha magoli ya kuotea Azam atakausha Hivi inaingia akili kwa Azam kubomoa timu yake kwa kuwatoa wachezaji muhimu kwenda simba akina Kapombe Nyoni Bocci Manula nk
Inawauma Nyoni tuliwazidi hesabu mlishaongea naye
 
imeshindwa lalamika wachezaji wake kucheza ki bwege mechi juzi ama droo na vipigo mfululizo inaenda lalamika ki bwege bwege

Inazidiwa na Namungo licha ya kufungwa na offside ya ajabu duniani haikuandika barua kulia lia ivi
 
Back
Top Bottom