Azam FC yatwaa Ubingwa wa kombe la Mapinduzi 2017 baada ya kuifunga Simba SC 1-0

Hongereni Azam mmeonyesha ukomavu mkubwa.Na hii ni kwakuwa mnazijua mbinu zote za Omogi.
 
Hatimaye klabu ya Azam FC imetwaa ubingwa wa Kombe la mapinduzi mwaka
2017 (toleo la 11), baada ya kuwacharaza
vibonde wao wa siku zote Simba SC kigoli kimoja cha ukwezi..

Azam FC 1 vs 0 Matopeni FC.

mfungaji:- Himid Mao Mkami (Dakika ya 13')


Nilisema:- 'usitukane mamba kabla hujavuka mto'.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…