Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Asubuhi hii nimeenda dukani kwa jamaa kavaa jezi ya SIMBA.. nikamwambia naomba UNGA WA NGANO chapa AZAM KILO 1 nataka nikapike chapati,
Naona kafunga Duka katoka zake hajanisemesha...
Nahisi kenda kuchukua MIZANI YA KUPIMIA. [emoji38][emoji38][emoji2]
[HASHTAG]#AZAM[/HASHTAG]..Bidhaa bora ya Bakhresa
Sisi shida yetu Yanga, hatuna tatizo na Azam, ni ndugu zetu acha wachukue hili kwa sababu la ligi kuu ni letu
Walikwenda kuwasaidia Azam kubeba kombe la MapinduziSimba mlikuwa mnafanya nn zanzbar
Bingwa AZAM
KIPA BORA MANURA AZAM
MFUNGAJI BORA MSUVA YANGA
SASA SIMBA MLIKUWA MNAFANYA nini?
Mchezaji bora ulikuwa weweSimba mlikuwa mnafanya nn zanzbar
Bingwa AZAM
KIPA BORA MANURA AZAM
MFUNGAJI BORA MSUVA YANGA
SASA SIMBA MLIKUWA MNAFANYA nini?
Mchezaji bora ulikuwa wewe
Hongera sana AZAM,naamini mlitumia nafasi muliyoipata vizuri.Simba,tumepambana lakini bahati haikuwa kwetu.Ni fainali ya kihistoria leo
Simba sport Club vs Azam Football Club
Mahali: Uwanja wa Amani
Tarehe: 13 Jan 2017 Saa 2:15 Usiku
=> Azam FC mabingwa wa kombe la Mapinduzi 2017 baada ya kuifunga Simba SC.
13' Himid Mao anapiga shuti kali kutoka nje ya 18 na kumshinda mlinda mlango wa Simba, Azam 1-0 Simba
Wamekimbilia fainal na hawana break....."""""""haaahaaaa
Siyo simba siyo chui siyo yanga,,, aghaaaaaa,,koni zetu zapaswa kuzilamba,,hatuna maneno ya kwenye mabango....
Leo ndio mnajua maumivu eeeehMaisha bila unafki hayaendi.
ndio kashinda...na njaaaSimba anashinda na siitaji mjadala na mtu yoyote na sitaki kukosolewa