koke16
Senior Member
- Jun 3, 2016
- 147
- 123
Ha ha haKesho tukutane hapa hapa, wakimataifa wakichanachana mbao pale CCM Kirumba bila huruma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haKesho tukutane hapa hapa, wakimataifa wakichanachana mbao pale CCM Kirumba bila huruma.
Yaleyale mkuu.
Kesho yanga lazma iuze mchezo dhidi ya mbao ili kumuepuka mnyama!
Hehehehe shangaa na ww,wanajipa matumaini.Nafurahi sana kusikia hivyo mkuu..nani alisema Yanga atapita kwa Mbao hah hah kazi wanayo!
Hahahahah wasubiri kesho kuchanwa na mbao.We nawe lemba lako si utulie unaturusha roho bure..sibrini kesho yenu
Inawezekana....Kesho yanga lazma iuze mchezo dhidi ya mbao ili kumuepuka mnyama!
Hahahahaaa., Sina tatizo na Yanga kushinda uwanjani, ila sio kwa kuombea mabaya hivo wakati haitakuathiri kivyovyote vile.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wewe unapenda kuona Yanga ikishinda? Tuanzie hapo.
Jidanganye Wee waza kushiriki Shirikisho kupitia yanga maana safari hii nakusaidia tu VPL nabeba FA CUP nabebaNaona dalili za Yanga kupigwa kesho ili isijefedheheshwa tena. Ila yote kwa yote yanga ashinde kesho ili wote waiwakilishe Nchi tuone nani ni mpambanaji kimataifa.
Pamoja na ushabiki na mapenzi yangu ya dhati kwa Mnyama na kwamba siku yoyote na kwa vyovyote vile sijawahi kuwatakia mema Ndala (Kandambili Fc), lakini kwa mapenzi yangu hayo hayo kwa mnyama, kesho nawaombea sana Yanga washinde. Hii ni kwa sababu wakishaingia yanga ni moja kwa moja simba watashiriki mechi za kimataifa. Lililo wazi ni kwamba yanga watashinda vpl na kwa hivyo simba watashiriki confederation kimataifa ikiwa simba atakuwa bingwa ama wa pili kwenye confederation hapa home. Kila la kheri yanga kwa manufaa ya Simba. Ikitokea Bahati mbaya Yanga kesho wakashindwa na mbao, Simba tutakuwa kwenye hatihati sana kwa sababu yanga wakishinda vpl halafu tukapoteza fainali dhidi ya mbao tutakuwa twafaa.Naona dalili za Yanga kupigwa kesho ili isijefedheheshwa tena. Ila yote kwa yote yanga ashinde kesho ili wote waiwakilishe Nchi tuone nani ni mpambanaji kimataifa.
Kama alivyouchuna siku Tambwe alivyoupakata mpira na kufunga![emoji57] [emoji57] [emoji57]Ile penalti refa alikuwa mbali, ila kibendera aliamua kuuchuna tu maana tukio lote aliliona.!