Mehek
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 7,473
- 10,426
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nikusapoti tu usijeukafa peke yko maana si kwakucheka huko[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nikusapoti tu usijeukafa peke yko maana si kwakucheka huko[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Penalt sio mchezo?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] John Boko bwege Kweli badala ya kucheza mpira anaomba penati
Tukutane hapahapa panapo majaaliwa. Yanga hatuwahi kuingia uwanjani na mashaka.[emoji4]Wakuu wote mliotoa info za kutosha mwanzo mpaka mwisho wa game nawapa heshima sana, Kesho nawaomba msisite kutuhabarisha hah hah japo itakuwa ngumu kumeza na hamtaamini kitakachotokea 🙄🙄
Hao jamaa hata kanuni hawazijua kazi kupiga blahabla.Unadhani sisi ni nyie ambao hamna hata laki 3 ya kulipia malalamiko yenu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yani ni raha tupu,asante mwaya.[emoji23] [emoji23] [emoji23] nikusapoti tu usijeukafa peke yko maana si kwakucheka huko
Mara mmefungwa na Mbao fc, ntacheka kistareheTukutane hapahapa panapo majaaliwa. Yanga hatuwahi kuingia uwanjani na mashaka.[emoji4]
Subirini mnyolewe na Mitiki kesho hahahahaaNaam,mpira umekwisha. Simba wamefuzu kwa fainali kwa mara ya kwanza tangu fainali hizi kuanzishwa.
Hongereni
Panapo majaaliwa kesho tukutane jukwaa hilihili kushuhudia kandanda safi kutoka kwa wanaume wa shoka Dar Young Africans dhidi ya Mbao FC.
Until then,adios
Cheers [emoji485]