Azam hawakufanya utafiti kabla ya kumfukuza kocha

Azam hawakufanya utafiti kabla ya kumfukuza kocha

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Kocha aliyefukuzwa ndiye huyohuyo ambae aliiwezesha Azam kuongoza ligi kabla ya mechi na Yanga.

Yanga walifukuza kocha lakini matokeo yamebaki yaleyale ya ushindi mwembamba kila mechi. Mtibwa, Ihefu, Namungo, KMC, Mbeya City wamebadilisha mabenchi ya ufundi lakini matokeo kwenye club yamebakia yaleyale.

Nadhani shida sio makocha bali iko kwenye:

1. Ubora wa wachezaji wa timu. Wacheza wa Azam wana uwezo unaokaribiana na wale wa timu nyingine kwenye ligi.
2. Ubora wa timu nyingine, kila timu imesajili vizuri hivyo hakuna timu mbovu kabisa.
3. Maamuzi ya marefa. Marefa wetu sio wa kiwango cha juu pia hatuna assistant referee technology.
4. Viwanja vyetu baadhi sio vizuri.
5. Makocha wetu sio wale wa level ya EPL, uwezo wao unafananafanana.
6. Uongozi wa vilabu vyetu hawana taaluma ya kuongoza soka, wanabahatisha tu.
7. Matibabu ya wachezaji wanaoumia sio ya kiwango.
8. Kuna wachezaji ambao wanacheza kila mechi, hivyo wanachoka sana.

Hivyo kumfukuza kocha kunaweza kusilete tofauti kubwa inayokusudiwa.

Msameheni
 
Kwa hili la Azam sijawaelewa, mpira wanacheza mzuri na timu ipo nafasi nzuri sasa kwanini wamfute kazi?
Binafsi kwa Yanga walikuwa sahihi, Yanga nadhani walitaka kubadilisha aina ya mpira wanaocheza sio matokeo.
 
Kocha aliyefukuzwa ndiye huyohuyo ambae aliiwezesha Azam kuongoza ligi kabla ya mechi na Yanga.

Yanga walifukuza kocha lakini matokeo yamebaki yaleyale ya ushindi mwembamba kila mechi. Mtibwa, Ihefu, Namungo, KMC, Mbeya City wamebadilisha mabenchi ya ufundi lakini matokeo kwenye club yamebakia yaleyale.

Nadhani shida sio makocha bali iko kwenye:

1. Ubora wa wachezaji wa timu. Wacheza wa Azam wana uwezo unaokaribiana na wale wa timu nyingine kwenye ligi.
2. Ubora wa timu nyingine, kila timu imesajili vizuri hivyo hakuna timu mbovu kabisa.
3. Maamuzi ya marefa. Marefa wetu sio wa kiwango cha juu pia hatuna assistant referee technology.
4. Viwanja vyetu baadhi sio vizuri.
5. Makocha wetu sio wale wa level ya EPL, uwezo wao unafananafanana.
6. Uongozi wa vilabu vyetu hawana taaluma ya kuongoza soka, wanabahatisha tu.
7. Matibabu ya wachezaji wanaoumia sio ya kiwango.
8. Kuna wachezaji ambao wanacheza kila mechi, hivyo wanachoka sana.

Hivyo kumfukuza kocha kunaweza kusilete tofauti kubwa inayokusudiwa.

Msameheni
Zero shot on target nyumbani!! Watu watakufukiza tuu.
 
Kwa hili la Azam sijawaelewa, mpira wanacheza mzuri na timu ipo nafasi nzuri sasa kwanini wamfute kazi?
Binafsi kwa Yanga walikuwa sahihi, Yanga nadhani walitaka kubadilisha aina ya mpira wanaocheza sio matokeo.
Na kama sikusawazisha goli la simba, na wao sasa hivi wasingekuwa na kocha.
 
Hamna kocha pale popat alifanya jambo la mbolea team imesajil vzr ila aina matokeo mazuri
 
wachezaji wanacheza kila mechi wanachoka" nilipo fika hapa nimegundua hujui mpira we ni fangasi kwenye mpira wetu...
Na wewe ni kirusi hata hujui kitu. Viwanja vyetu haviruhusu mchezi kucheza kila mechi. Wachezaji wetu wanaumizana sana makusudi kwa kukamiana au kukosa weledi wa mpira wa kufundishwa tangu utotoni. Wachezaji wengi wametokea kwenye mipira ya masodo, chandimu na ndodo. Unapokuwa na mchezaji ambae kila mechi yumo, timu ya taifa lake yumo, half life yake ya kucheza inapungua
 
Na wewe ni kirusi hata hujui kitu. Viwanja vyetu haviruhusu mchezi kucheza kila mechi. Wachezaji wetu wanaumizana sana makusudi kwa kukamiana au kukosa weledi wa mpira wa kufundishwa tangu utotoni. Wachezaji wengi wametokea kwenye mipira ya masodo, chandimu na ndodo. Unapokuwa na mchezaji ambae kila mechi yumo, timu ya taifa lake yumo, half life yake ya kucheza inapungua
Sasa hoja ni viwanja au kukamiana?
 
Kwa hili la Azam sijawaelewa, mpira wanacheza mzuri na timu ipo nafasi nzuri sasa kwanini wamfute kazi?
Binafsi kwa Yanga walikuwa sahihi, Yanga nadhani walitaka kubadilisha aina ya mpira wanaocheza sio matokeo.
Mbona yanga walimfukuza kocha na walikuwa hawajapoteza mechi hata 1
 
Na wewe ni kirusi hata hujui kitu. Viwanja vyetu haviruhusu mchezi kucheza kila mechi. Wachezaji wetu wanaumizana sana makusudi kwa kukamiana au kukosa weledi wa mpira wa kufundishwa tangu utotoni. Wachezaji wengi wametokea kwenye mipira ya masodo, chandimu na ndodo. Unapokuwa na mchezaji ambae kila mechi yumo, timu ya taifa lake yumo, half life yake ya kucheza inapungua
Hujui mpira wewe kichaa
 
Sasa hoja ni viwanja au kukamiana?
Vyote viwili. Viko viwanja ambavyo mchezaji hawezi Ku slide hata kama angetaka kuslide na wako wachezaji ambao kwa makusudi wanawarukia wenzao miguuni hata kama hawana mpira, na wengine kama Morrison anapiga ngumi wenzie makusudi
 
Vyote viwili. Viko viwanja ambavyo mchezaji hawezi Ku slide hata kama angetaka kuslide na wako wachezaji ambao kwa makusudi wanawarukia wenzao miguuni hata kama hawana mpira, na wengine kama Morrison anapiga ngumi wenzie makusudi
Upo sahihi...naona TFF ndio wanafungia viwanja sasa hivi...mpira wa bongo tia maji tia maji..!
 
Viongozi wetu huwa wanatimua makocha sio kutokana na sababu za kiufundi Bali kama sehemu ya kuficha nyuso zao na kukwepa hasira za waajili wao. Yaani siamini kama Azam kwa kumfukuza kocha aliyehusika na usajili wa kikosi watapata matokeo tofauti sana kwa kutumia wachezaji na viongozi walewale, marefa walewake na viwanja hivihivi.
 
Ukitaka matusi upendekeze afukuzwe na yule aliyemleta kocha asiyefaa
 
Umesahau sababu muhimu sana.Kuna mchezaji anaitwa Salum abubakar alikuwa anaua move maksudi.Huyu kwa mechi ya yanga aliuza mechi wala hakuna siri.

Kosa la kocha ni kwa nini alishindwa kumuonya aache huo mchezo ama angempiga benchi kabisa?
Kocha aliyefukuzwa ndiye huyohuyo ambae aliiwezesha Azam kuongoza ligi kabla ya mechi na Yanga.

Yanga walifukuza kocha lakini matokeo yamebaki yaleyale ya ushindi mwembamba kila mechi. Mtibwa, Ihefu, Namungo, KMC, Mbeya City wamebadilisha mabenchi ya ufundi lakini matokeo kwenye club yamebakia yaleyale.

Nadhani shida sio makocha bali iko kwenye:

1. Ubora wa wachezaji wa timu. Wacheza wa Azam wana uwezo unaokaribiana na wale wa timu nyingine kwenye ligi.
2. Ubora wa timu nyingine, kila timu imesajili vizuri hivyo hakuna timu mbovu kabisa.
3. Maamuzi ya marefa. Marefa wetu sio wa kiwango cha juu pia hatuna assistant referee technology.
4. Viwanja vyetu baadhi sio vizuri.
5. Makocha wetu sio wale wa level ya EPL, uwezo wao unafananafanana.
6. Uongozi wa vilabu vyetu hawana taaluma ya kuongoza soka, wanabahatisha tu.
7. Matibabu ya wachezaji wanaoumia sio ya kiwango.
8. Kuna wachezaji ambao wanacheza kila mechi, hivyo wanachoka sana.

Hivyo kumfukuza kocha kunaweza kusilete tofauti kubwa inayokusudiwa.

Msameheni
 
Back
Top Bottom