kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kocha aliyefukuzwa ndiye huyohuyo ambae aliiwezesha Azam kuongoza ligi kabla ya mechi na Yanga.
Yanga walifukuza kocha lakini matokeo yamebaki yaleyale ya ushindi mwembamba kila mechi. Mtibwa, Ihefu, Namungo, KMC, Mbeya City wamebadilisha mabenchi ya ufundi lakini matokeo kwenye club yamebakia yaleyale.
Nadhani shida sio makocha bali iko kwenye:
1. Ubora wa wachezaji wa timu. Wacheza wa Azam wana uwezo unaokaribiana na wale wa timu nyingine kwenye ligi.
2. Ubora wa timu nyingine, kila timu imesajili vizuri hivyo hakuna timu mbovu kabisa.
3. Maamuzi ya marefa. Marefa wetu sio wa kiwango cha juu pia hatuna assistant referee technology.
4. Viwanja vyetu baadhi sio vizuri.
5. Makocha wetu sio wale wa level ya EPL, uwezo wao unafananafanana.
6. Uongozi wa vilabu vyetu hawana taaluma ya kuongoza soka, wanabahatisha tu.
7. Matibabu ya wachezaji wanaoumia sio ya kiwango.
8. Kuna wachezaji ambao wanacheza kila mechi, hivyo wanachoka sana.
Hivyo kumfukuza kocha kunaweza kusilete tofauti kubwa inayokusudiwa.
Msameheni
Yanga walifukuza kocha lakini matokeo yamebaki yaleyale ya ushindi mwembamba kila mechi. Mtibwa, Ihefu, Namungo, KMC, Mbeya City wamebadilisha mabenchi ya ufundi lakini matokeo kwenye club yamebakia yaleyale.
Nadhani shida sio makocha bali iko kwenye:
1. Ubora wa wachezaji wa timu. Wacheza wa Azam wana uwezo unaokaribiana na wale wa timu nyingine kwenye ligi.
2. Ubora wa timu nyingine, kila timu imesajili vizuri hivyo hakuna timu mbovu kabisa.
3. Maamuzi ya marefa. Marefa wetu sio wa kiwango cha juu pia hatuna assistant referee technology.
4. Viwanja vyetu baadhi sio vizuri.
5. Makocha wetu sio wale wa level ya EPL, uwezo wao unafananafanana.
6. Uongozi wa vilabu vyetu hawana taaluma ya kuongoza soka, wanabahatisha tu.
7. Matibabu ya wachezaji wanaoumia sio ya kiwango.
8. Kuna wachezaji ambao wanacheza kila mechi, hivyo wanachoka sana.
Hivyo kumfukuza kocha kunaweza kusilete tofauti kubwa inayokusudiwa.
Msameheni