Ulichelewa sana kujua hilo Chifu.Urafiki wa Azam na Simba unatuharibia ligi
Azam wameuza mechi na walipewa maagizo maalum kujilegeza kama wagonjwa
Huyo Sillah akicheza dhidi ya Yanga atajituma kama hatacheza tena ila mechi ya Simba aaaa yupo yupo anakimbiza hadi mwisho wa touch line
Azam itabaki team ndogo
Mwaka Jana tuliwabeba na kuwapeleka CAFCL
Mwaka huu hatuwabebi Bora tuwabebe Makolo watakaoshika nafasi ya pili
Bodi ya ligi wachunguze hizi tuhumaHata ile ya simba kushika nafasi ya 3 ni makubaliano yao na Azam, ili simba ajipange na shirikisho maana kule CL ni kugumu. Ila kiushindani Azam na Simba ni zaidi ya upangaji matokeo. Jambo hili lingekuwa ni Yanga wachaw ng'ombe wote saa hzi wanapayuka
Kama azam ni timu nzuri kwa nini katolewa kwenye michuano ya CAF?Urafiki wa Azam na Simba unatuharibia ligi
Azam wameuza mechi na walipewa maagizo maalum kujilegeza kama wagonjwa
Huyo Sillah akicheza dhidi ya Yanga atajituma kama hatacheza tena ila mechi ya Simba aaaa yupo yupo anakimbiza hadi mwisho wa touch line
Azam itabaki team ndogo
Mwaka Jana tuliwabeba na kuwapeleka CAFCL
Mwaka huu hatuwabebi Bora tuwabebe Makolo watakaoshika nafasi ya pili
Umeleta uzi.mzuri lakini umekuwa na reply ya kitoto sana aisee sijui kama wewe ni mwanaspoti au ni shabiki maandazi?Kama Simba ni team nzuri kwanini inacheza shirikisho?
Scars Tui Kalpana OKW BOBAN SUNZU jmushi1 KikulachoChakoUrafiki wa Azam na Simba unatuharibia ligi
Azam wameuza mechi na walipewa maagizo maalum kujilegeza kama wagonjwa
Huyo Sillah akicheza dhidi ya Yanga atajituma kama hatacheza tena ila mechi ya Simba aaaa yupo yupo anakimbiza hadi mwisho wa touch line
Azam itabaki team ndogo
Mwaka Jana tuliwabeba na kuwapeleka CAFCL
Mwaka huu hatuwabebi Bora tuwabebe Makolo watakaoshika nafasi ya pili
WudesiUrafiki wa Azam na Simba unatuharibia ligi
Azam wameuza mechi na walipewa maagizo maalum kujilegeza kama wagonjwa
Huyo Sillah akicheza dhidi ya Yanga atajituma kama hatacheza tena ila mechi ya Simba aaaa yupo yupo anakimbiza hadi mwisho wa touch line
Azam itabaki team ndogo
Mwaka Jana tuliwabeba na kuwapeleka CAFCL
Mwaka huu hatuwabebi Bora tuwabebe Makolo watakaoshika nafasi ya pili
Mkuu mbona kama wewe ndo unabubujikwa.Usilie basi
π€£π€£π€£Jibu swali mbumbumbu