voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,545
- 11,935
Umewaambia ukweli 100%🤣🤣🤣
Makasiriko ya nini Uto???
Na wewe kama unaona Azam kamwachia Simba na Wewe watafute wa kukuachia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewaambia ukweli 100%🤣🤣🤣
Makasiriko ya nini Uto???
Na wewe kama unaona Azam kamwachia Simba na Wewe watafute wa kukuachia.
Tunae wa kutuachia. Yule wa 1-5🤣🤣🤣
Makasiriko ya nini Uto???
Na wewe kama unaona Azam kamwachia Simba na Wewe watafute wa kukuachia.
Endelea kukariri historia.Hata Mseto alishawahi kuwa bingwa na Tukuyu Stars pia.Tunae wa kutuachia. Yule wa 1-5
2-1
Msimu uliopita
Hapo atapata amnesia hakumbuki.6-0
5-0
4-0
Nilisema amnesia imeanza kufanya kazi.Ndo Nini mbumbumbu
Ndio ulichokiona mkuu.Ndo Nini mbumbumbu
Bubujiko la haja limekukaba boss, ila utazoea tu msimu unaweza ukawa mrefu kweli.Kasome bango magomeni
Ulipigwa ngapi
Kiazi kingine hiki,zamalek ni wabovu? Shirikisho ni jina tu haina maana ni vibondeKama Simba ni team nzuri kwanini inacheza shirikisho?
CBE na Tripoli 😁Kiazi kingine hiki,zamalek ni wabovu? Shirikisho ni jina tu haina maana ni vibonde
Wiki ngumu hii kwa uto,simna kamfunga nwarabu msiba uko jangwani.Hata Dube alishawahi kusema, Azam ikifungwa na Simba - mpaka viongozi wanashangilia. Ila ikifungwa na Yanga - kocha anafukuzwa.
Ligi ina timu nyingi sana kwanini iwe kwa yanga tu?Huyo Sillah akicheza dhidi ya Yanga atajituma kama hatacheza tena ila mechi ya Simba aaaa yupo yupo anakimbiza hadi mwisho wa touch line
Kama kweli mliwabeba basi tambua mmezoea kubebabana hivyo ndiyo mnaochafua taswili ya ligi hii.Azam itabaki team ndogo
Mwaka Jana tuliwabeba na kuwapeleka CAFCL
Mwaka huu hatuwabebi Bora tuwabebe Makolo watakaoshika nafasi ya pili
Mbumbumbu katika Moja na mbiliLigi ina timu nyingi sana kwanini iwe kwa yanga tu?
Kwako wewe ligi nzima timu ni yanga tu.
Kwahiyo Azam angeifunga Simba mwisho wa ligi angetwaa ubingwa?
Kama kweli mliwabeba basi tambua mmezoea kubebabana hivyo ndiyo mnaochafua taswili ya ligi hii.
Mnashindwa kucheza mpira kwa uwezo wenu mpaka mbebane?
Unasajili wachezaji wazuri lakini bado unategemea kubebwa ili upate mafanikio.
Mnaharibu ligi yetu kwa ujinga wenu wa kubebwa bebwa.