Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Moderators wangewapumzisha tuu maana soon watafwariki..πππwana majanaba...ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moderators wangewapumzisha tuu maana soon watafwariki..πππwana majanaba...ππππ
Leo,?Urafiki wa Azam na Simba unatuharibia ligi
Azam wameuza mechi na walipewa maagizo maalum kujilegeza kama wagonjwa
Huyo Sillah akicheza dhidi ya Yanga atajituma kama hatacheza tena ila mechi ya Simba aaaa yupo yupo anakimbiza hadi mwisho wa touch line
Azam itabaki team ndogo
Mwaka Jana tuliwabeba na kuwapeleka CAFCL
Mwaka huu hatuwabebi Bora tuwabebe Makolo watakaoshika nafasi ya pili
Mwaka gani?Kasome bango magomeni
Ulipigwa ngapi
Ndo Nini hichoMwaka gani?
Kama vya zamani waweza jisifu navyo ona hiyo
View attachment 3108338View attachment 3108340
Mashabiki wa yanga kumbe hamna akiliUrafiki wa Azam na Simba unatuharibia ligi
Azam wameuza mechi na walipewa maagizo maalum kujilegeza kama wagonjwa
Huyo Sillah akicheza dhidi ya Yanga atajituma kama hatacheza tena ila mechi ya Simba aaaa yupo yupo anakimbiza hadi mwisho wa touch line
Azam itabaki team ndogo
Mwaka Jana tuliwabeba na kuwapeleka CAFCL
Mwaka huu hatuwabebi Bora tuwabebe Makolo watakaoshika nafasi ya pili
Hakika aliewaita utopwinyo aliwaza mbali sanaUrafiki wa Azam na Simba unatuharibia ligi
Azam wameuza mechi na walipewa maagizo maalum kujilegeza kama wagonjwa
Huyo Sillah akicheza dhidi ya Yanga atajituma kama hatacheza tena ila mechi ya Simba aaaa yupo yupo anakimbiza hadi mwisho wa touch line
Azam itabaki team ndogo
Mwaka Jana tuliwabeba na kuwapeleka CAFCL
Mwaka huu hatuwabebi Bora tuwabebe Makolo watakaoshika nafasi ya pili
Hapa mbumbumbu kule nyani.Jibu swali mbumbumbu
Kheee unaumwa ww sio mzima...πππBado unaweweseka la tukio la November 5, 2023
Nilianza kukariri kwenye ngao ya Jamii, rafiki wa TATU MALOGO akafanya yake.Endelea kukariri historia.Hata Mseto alishawahi kuwa bingwa na Tukuyu Stars pia.
KAMA YANGA NI TIMU NZURI KWANINI ILIISHIA ROBO FAINALI KAMA SIMBA MBOVU?Kama Simba ni team nzuri kwanini inacheza shirikisho?
Good thinkingKama azam ni timu nzuri kwa nini katolewa kwenye michuano ya CAF?
We kumah hivi kuna faida gan mnapata kushabikia hizi timu hadi mnarukwa na akili mafukara nyieJibu swali mbumbumbu