Azam inatakiwa ihamie Zanzibar ili ipate mataji na nafasi za kucheza kimataifa

Azam inatakiwa ihamie Zanzibar ili ipate mataji na nafasi za kucheza kimataifa

Tatizo mnataka kuilazimisha Azam ilingane na Simba na Yanga wakati bado. Waendeleze juhudi
 
Timu gani chini ya Kocha mpya haikuwa bora ilihali kila mchezaji huitaji namba? Subirini baada ya mechi 5 mfululizo ndipo muhemukwe kuwa Makolokolo ni bora [emoji847]

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Sisi Yanga tunaumia for nothing. Sijui kwa nini?
 
iende zenji ili ukibaraka wa simba ukome
Tangu ianzishwe timu hii haina mchango wo wote katika soka la Tanzania. Inachokifanya ni kupunguza ushindani wa soka nchini na kushusha viwango vya wachezaji!
 
Azam ni kama toto JINGA la tajiri. Hela nyingi kwao lakini darasani akili sifuri. Acha Feisal ale hela zao bure
 
Azam inaonekana timu kubwa katika makaratasi lakini ukweli ni timu ndogo kutokana na viongozi waliopo na hata wajao.

Kuendelea kubaki kucheza mechi za ligi zinazoandaliwa na TFF kutaimaliza kabisa Azam. Hivyo ni vema ikahamia Zanzibar ambako itapata ufuasi mkubwa na kuna timu nyoronyoro ambazo Azam itazimudu.
Yanga mna maumivu sana,yaani mlijipa asilimia kubwa kuwa Azam atashinda lakini imekuwa kinyume chake.
Baadae mtatwambia kwa nini mlichezea mfumo hadi mkafungiwa kwa kuchezesha mchezaji bila kumlipia.
Kwa maana nyingine mlikuwa hamjakamilisha usajili na bado mkamchezesha.Mtajua kama mpira ni siasa ama sio
 
Back
Top Bottom