OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Naomba niseme mapema kabisa kabla Azam hawajaanza kucheza mechi za NBCPL.
Nimetizama mechi nne za azam za msimu huu, kuna kitu nimekiona ambacho wengi hamjakiona mbaya zaidi mnasifu eti azam inakikosi kizuri, kwa maoni yangu azam ya msimu huu ni mbovu kuliko ya msimu uliopita.
Beki wa kushoto wa azam ni kama beki wa Tembo Fc ya Tabora, yaani hajui kazi yake hajui kuziba gepu anqkaa qnamuangalia adui aliyesimama pembeni umbali wa mita 30 anasubiri krosi ipigwe ndio aanze kukimbia
Winga wa kushoto wa azam anazidiwa na yule jamaa wa mtibwa sugar, yaani anakimbia na mpira karibu na goli la adui hajui kupiga krosi mpaka ageuke na mpira ndio apige kwa mguu wa kulia tena kwa taabu mwisho wa siku anapokonywa au anaurudisha uliko toka. Hajui kufanya counter attack.
Namba nane wa azam sijui huwa anasimama wapi yaani huwezi kuona akichezesha mipira kwenda mbele
Namba kumi wa azam sijui anaitwa nani yaani huwezi kuona akifanya kazi yake pia hata namba kumi na moja
Kuna beki wa kulia anaitwa Yoro Diabi huyu naye ni garasa mpaka bangala anafanya kazi zisizo zake mwisho wa siku anaonekana mbovu
Fei toto ni house boy wa uwanjani
Huyu kijana analazimika kufanya kazi zote za magarasa ya Azam anacheza namba 6, 8, 11, 10, 9 na 4
Yaani beki ni yeye winga ni yeye mkabaji ni yeye mfungaji ni yeye
Feitoto penati zote hutokea kwake, faulo nyingi hutokea kwake pia amehusika na magoli mengi
Huyu ni house boy anasafisha uchafu wa magarasa mengi hapo azam
Nawasilisha.
Nimetizama mechi nne za azam za msimu huu, kuna kitu nimekiona ambacho wengi hamjakiona mbaya zaidi mnasifu eti azam inakikosi kizuri, kwa maoni yangu azam ya msimu huu ni mbovu kuliko ya msimu uliopita.
Beki wa kushoto wa azam ni kama beki wa Tembo Fc ya Tabora, yaani hajui kazi yake hajui kuziba gepu anqkaa qnamuangalia adui aliyesimama pembeni umbali wa mita 30 anasubiri krosi ipigwe ndio aanze kukimbia
Winga wa kushoto wa azam anazidiwa na yule jamaa wa mtibwa sugar, yaani anakimbia na mpira karibu na goli la adui hajui kupiga krosi mpaka ageuke na mpira ndio apige kwa mguu wa kulia tena kwa taabu mwisho wa siku anapokonywa au anaurudisha uliko toka. Hajui kufanya counter attack.
Namba nane wa azam sijui huwa anasimama wapi yaani huwezi kuona akichezesha mipira kwenda mbele
Namba kumi wa azam sijui anaitwa nani yaani huwezi kuona akifanya kazi yake pia hata namba kumi na moja
Kuna beki wa kulia anaitwa Yoro Diabi huyu naye ni garasa mpaka bangala anafanya kazi zisizo zake mwisho wa siku anaonekana mbovu
Fei toto ni house boy wa uwanjani
Huyu kijana analazimika kufanya kazi zote za magarasa ya Azam anacheza namba 6, 8, 11, 10, 9 na 4
Yaani beki ni yeye winga ni yeye mkabaji ni yeye mfungaji ni yeye
Feitoto penati zote hutokea kwake, faulo nyingi hutokea kwake pia amehusika na magoli mengi
Huyu ni house boy anasafisha uchafu wa magarasa mengi hapo azam
Nawasilisha.