Azam kuna magarasa mengi msimu huu, Feitoto anafanya kazi zote uwanjani kama house boy

Azam kuna magarasa mengi msimu huu, Feitoto anafanya kazi zote uwanjani kama house boy

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Naomba niseme mapema kabisa kabla Azam hawajaanza kucheza mechi za NBCPL.

Nimetizama mechi nne za azam za msimu huu, kuna kitu nimekiona ambacho wengi hamjakiona mbaya zaidi mnasifu eti azam inakikosi kizuri, kwa maoni yangu azam ya msimu huu ni mbovu kuliko ya msimu uliopita.

Beki wa kushoto wa azam ni kama beki wa Tembo Fc ya Tabora, yaani hajui kazi yake hajui kuziba gepu anqkaa qnamuangalia adui aliyesimama pembeni umbali wa mita 30 anasubiri krosi ipigwe ndio aanze kukimbia

Winga wa kushoto wa azam anazidiwa na yule jamaa wa mtibwa sugar, yaani anakimbia na mpira karibu na goli la adui hajui kupiga krosi mpaka ageuke na mpira ndio apige kwa mguu wa kulia tena kwa taabu mwisho wa siku anapokonywa au anaurudisha uliko toka. Hajui kufanya counter attack.

Namba nane wa azam sijui huwa anasimama wapi yaani huwezi kuona akichezesha mipira kwenda mbele

Namba kumi wa azam sijui anaitwa nani yaani huwezi kuona akifanya kazi yake pia hata namba kumi na moja

Kuna beki wa kulia anaitwa Yoro Diabi huyu naye ni garasa mpaka bangala anafanya kazi zisizo zake mwisho wa siku anaonekana mbovu

Fei toto ni house boy wa uwanjani
Huyu kijana analazimika kufanya kazi zote za magarasa ya Azam anacheza namba 6, 8, 11, 10, 9 na 4
Yaani beki ni yeye winga ni yeye mkabaji ni yeye mfungaji ni yeye

Feitoto penati zote hutokea kwake, faulo nyingi hutokea kwake pia amehusika na magoli mengi

Huyu ni house boy anasafisha uchafu wa magarasa mengi hapo azam

Nawasilisha.
 
Azam ijenge ukuta wa imara wa mabeki wanne,kisha kwenye kiungo wakabaji na wapeleka mipira mbele hakuna,namba kumi hamna,winga hazina akili ya kupangua safu ya ulinzi ya timu pinzani mawinga wanapiga passi za kurudi ndani na sio kutanua uwanja na kupiga krosi,Namba tisa yule mcolombia hapewi mipira afunge muda mwingi anahangaika kurudi kutafuta mipira akafunge hawezi kufanya kazi zote.

una mamadou Samakhe,Chekna Diakite wote wanakasi lakini hawachezi kabisa,Azam ni timu pekee inawaweka wachezaji wa kigeni benchi na wanawalipa pesa ndefu.
 
mid field pale ni useless players tu. amna mtu wa kupambana na ku hold team.

azam fc anatakiwa afukuze viongozi wote na benchi la ufundi lote.

anyway kikao kimefanyika leo na kesho pia. watu wataondoka
hawa jamaa wanakera sana mie naomba tuu tff wahakikishe ni yanga na simba pekee wanacheza champions league maana hao ndio wanatubeba kama taifa. wengine wanaenda kututia aibu tuu.
kwa dhuluma au halali simba yanga waende champions league.
 
hawa jamaa wanakera sana mie naomba tuu tff wahakikishe ni yanga na simba pekee wanacheza champions league maana hao ndio wanatubeba kama taifa. wengine wanaenda kututia aibu tuu.
kwa dhuluma au halali simba yanga waende champions league.
wamembeba sana simba Lat season. this season pia. mechi mbili na timu ambazo hazija kamilika. sema at the end. simba wanachoma kibanda.

simba hii mikoani aitoki
 
Azam ijenge ukuta wa imara wa mabeki wanne,kisha kwenye kiungo wakabaji na wapeleka mipira mbele hakuna,namba kumi hamna,winga hazina akili ya kupangua safu ya ulinzi ya timu pinzani mawinga wanapiga passi za kurudi ndani na sio kutanua uwanja na kupiga krosi,Namba tisa yule mcolombia hapewi mipira afunge muda mwingi anahangaika kurudi kutafuta mipira akafunge hawezi kufanya kazi zote.

una mamadou Samakhe,Chekna Diakite wote wanakasi lakini hawachezi kabisa,Azam ni timu pekee inawaweka wachezaji wa kigeni benchi na wanawalipa pesa ndefu.
ukuta wa foreigners unakuwaga miyeyusho. defenders wote wawe wazawa end off.
 
wamembeba sana simba Lat season. this season pia. mechi mbili na timu ambazo hazija kamilika. sema at the end. simba wanachoma kibanda.

simba hii mikoani aitoki
watafute namna ya kuibeba huko mikoani atleast wen simba play uwanja wa taifa unajaa na una 85% chance atafika group stage.
mie bwana ningekuwa prezidente w tff nawaambia watendaji wangu sitaki ujinga simba yanga must play caf champions league mpaka pale hawa wengi watakapo dhihirisha pasipo shaka kwamba they are redy to compete internationally
 
Azam ijenge ukuta wa imara wa mabeki wanne,kisha kwenye kiungo wakabaji na wapeleka mipira mbele hakuna,namba kumi hamna,winga hazina akili ya kupangua safu ya ulinzi ya timu pinzani mawinga wanapiga passi za kurudi ndani na sio kutanua uwanja na kupiga krosi,Namba tisa yule mcolombia hapewi mipira afunge muda mwingi anahangaika kurudi kutafuta mipira akafunge hawezi kufanya kazi zote.

una mamadou Samakhe,Chekna Diakite wote wanakasi lakini hawachezi kabisa,Azam ni timu pekee inawaweka wachezaji wa kigeni benchi na wanawalipa pesa ndefu.
Mkuu kumbe na wewe umeona nikichokiona mimi,
 
watafute namna ya kuibeba huko mikoani atleast wen simba play uwanja wa taifa unajaa na una 85% chance atafika group stage.
mie bwana ningekuwa prezidente w tff nawaambia watendaji wangu sitaki ujinga simba yanga must play caf champions league mpaka pale hawa wengi watakapo dhihirisha pasipo shaka kwamba they are redy to compete internationally
hii simba Al ahly Tripoli tu kutawaka.

amini simba deserves the 3rd spot last season. hii azam fc sema tu wameuza kipre ila ilikuwa inavuka hii 1st round.

ila hizi team zote mpya.
 
Leadership is a big problem, Wachezaji Bora wanawaacha wananunua Mkolombia. No focus,wachezaji Hawana morali wa kupambania Timu. Simba &Yanga ndizo Timu matured! zinastahili kuiwakilisha nchi kimataifaa.
 
Leadership is a big problem, Wachezaji Bora wanawaacha wananunua Mkolombia. No focus,wachezaji Hawana morali wa kupambania Timu. Simba &Yanga ndizo Timu matured! zinastahili kuiwakilisha nchi kimataifaa.
Hawa wacolombia wanatia shaka
 
Haya tumeanza ligi katoa sare tena kidogo apigwe kazidiwa mpaka possesion
 
Back
Top Bottom