La Liga ina ushindani kiasi kuliko Bundes kwasababu La liga ina timu Tatu shindani ktk nafasi ya ubingwa Madrid, Barca na Atlético,,, na ktk nafasi sita za juu utawakuta kina Sevilla, Valencia na Villareal wakipambana.
Wakati Bundes ni Bayern miaka yote anatawala, wengne wote wamebakia kutengeneza wachezaji kuwauzia Bayern.
Ijapokuwa ktk angle ya kibiashara, La liga kumpoteza Cr7 imekuwa pigo kwao na endapo Messi nae akiondoka basi ligi itapoteza pakubwa sana. Mimi mwenyewe nilisikitika sana na nilipoteza hamu ya kuitazama Madrid baada ya Cr7 kuondoka
Hvyo hata Azam pengne wamepredict hilo baada ya Messi kuanza kutingisha kibiriti
Ila kiujumla La Liga ina ushindani kulinganisha na Bundesliga