Maili tatu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 830
- 1,070
Bundesliga bana ligi ambayo mtu kupigwa nane bila kutoka kwa bavarians bayern munchen ni kitu cha kawaida kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ulitaka Chalesi asemeje?Siyo kweli nini sasa? mi ndo nimedanganya au Charles Hilal...Wabongo mnabishana mpaka na Radio?
Bavarians ukijchanganya wanakupiga nyingi tu uwe umetoka Bundesliga...la liga...EPL hata ligi ya sayari ya Mars.Bundesliga bana ligi ambayo mtu kupigwa nane bila kutoka kwa bavarians bayern munchen ni kitu cha kawaida kabisa