Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabla ya hapo mllkuwa mnapewa ndapi ili tulinganishe na hii 50m ndogo?ila 50 million ni ndogo, atleast 100 million
times changes. ligi kubwa he should pay morekabla ya hapo mllkuwa mnapewa ndapi ili tulinganishe na hii 50m ndogo?
makubwatimes changes. ligi kubwa he should pay more
Ukubwa wenyewe kausababisha huyo Azam, apewe maua yaketimes changes. ligi kubwa he should pay more
sure na ongeze pesa. quality ya video ipo chini sanaUkubwa wenyewe kausababisha huyo Azam, apewe maua yake
Katika iyo milioni 100 wewe utatoa shilingi ngapi?ila 50 million ni ndogo, atleast 100 million
250k per yearKatika iyo milioni 100 wewe utatoa shilingi ngapi?
ni milioni 50 kila mwezi kwa kila timu50 per month au ni baada ya msimu wa ligi kuisha kila timu inapewa pesa yake kutokana na nafasi aliyomalizia.
Mfano
Mshindi wa ligi anapewa 500m kutoka azam + 100m kutoka NBC
Anayeshika nafasi ya mwisho anapewa nadhani ni 25m
Au tofauti na hizo za mwisho la ligi ndio kuna hiyo 50m kwa mwezi.?
Umeona kidhungu hicho?makubwa
Azam kutoa Milioni 50 kila mwezi kwa kila timu ya ligi kuu, hadi sasa umeona mabadiliko yapi kwenye ushindani wa ligi yetu?
Ewe mdau wa soka la Tanzania, umeona mabadiliko?
Mimi nadhani ni nyingi sana zilikuwa timu 16 mara milioni 50 inakuwa milioni 800 kwa mwezi mara hiyo miezi ambayo timu zimecheza sijafuatilia ilikuwa ni miezi mingapi tusibeze sana wenzetu wanao jitolea japo na wao wanaingiza pesa kumbuka kuna gharama za uendeshaji piaAzam kutoa Milioni 50 kila mwezi kwa kila timu ya ligi kuu, hadi sasa umeona mabadiliko yapi kwenye ushindani wa ligi yetu?
Ewe mdau wa soka la Tanzania, umeona mabadiliko?
Tunaenda mbele haturudi nyuma... Kabla ya hapo Azam alikua anaingiza kiasi gani kupitia sisi?kabla ya hapo mllkuwa mnapewa ndapi ili tulinganishe na hii 50m ndogo?