We unaingiza hewa kwenye fuvu au sio. Tangu lini chombo kinasubiti abiria. Abiria unafika kabla ya mda wa safari as long as umekata tiketi wakienda empty kwanza inawapunguzia gharama za mafuta.Inawezekana ukawa unawalaumu wao kumbe ni nyinyi abiria ndio hamna time keeping
Mkuu Zan fast unaanza ku board nusu saa kabla, ontime inaondoka. Azam unaanza ku board msa wa kuondoka ushapita. Hapa issue tunaangalia mda ulioandikwa kwenye tiketi.Nadhani wewe si mzoefu wa hizo Boats
Katika Kampuni zote zinazooperate ktk hiyo route Azam ndio wenye afadhali Yaani Chongo ni Mfalme katikati ya Vipofu
Three weeks ago nilikuwa natoka Unguja nakuja Dar nilikata ticket boat ya saa 10:30 jioni
Kwenye saa 9:00 alasiri nikawa nishamaliza shughuli zangu nikawapigia Azam kama kuna boat b4 saa 10:30 wakaomba details zangu wakaniambia niwahi port kuna boat ya saa 9:15 alasiri. Saa 9:30 tukaanza safari
Usiwalaumu Azam peke yao uliza uambiwe madudu yanayofanywa na ATCL ya kumsubiri Mheshimiwa XYZ zaidi ya masaa 2
No hurry in Africa
Ciao
Ungechukua boda chap🤓🤓🤓🤓🤓Nimekata tiketi boat ya saa 3 kamili lakini huwezi amini boat imeondoka saa 3 na dakika 37. Dakika zote hizi zinatosha kabisa kukufelisha deal zako ukabaki masikini wakati waonwashaingiza pesa.
SO SAD AFRIKA BADO TIME KEEPING NI TATIZO NA NDIO CHANZO CHA UMASIKINI.
We unaingiza hewa kwenye fuvu au sio. Tangu lini chombo kinasubiti abiria. Abiria unafika kabla ya mda wa safari as long as umekata tiketi wakienda empty kwanza inawapunguzia gharama za mafuta.
Hao wamejitahidi.Nimekata tiketi boat ya saa 3 kamili lakini huwezi amini boat imeondoka saa 3 na dakika 37. Dakika zote hizi zinatosha kabisa kukufelisha deal zako ukabaki masikini wakati waonwashaingiza pesa.
SO SAD AFRIKA BADO TIME KEEPING NI TATIZO NA NDIO CHANZO CHA UMASIKINI.
Ungechukua boda chap[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
Ni vle tu ni biashara ya mtu na pia hawana mshindani wa maana lkn huduma za pale haziridhishi
Hua unasafiri na kusafirisha mzigo pale?🤔🤔🤔Sio kweli azam pale yupo vizuri sanaa.
Saa 3 kamili kulikuwa na meli kubwa ya makontena ilikuwa inaingia bandarini... Sheria hapo ni mdogo lazima amsubiri mkubwa apite....Nimekata tiketi boat ya saa 3 kamili lakini huwezi amini boat imeondoka saa 3 na dakika 37. Dakika zote hizi zinatosha kabisa kukufelisha deal zako ukabaki masikini wakati waonwashaingiza pesa.
SO SAD AFRIKA BADO TIME KEEPING NI TATIZO NA NDIO CHANZO CHA UMASIKINI.
Hili swala la kusubiri Muheshimiwa lilishawahi kutaka kutokea nikiwa Mwanza.Nadhani wewe si mzoefu wa hizo Boats
Katika Kampuni zote zinazooperate ktk hiyo route Azam ndio wenye afadhali Yaani Chongo ni Mfalme katikati ya Vipofu
Three weeks ago nilikuwa natoka Unguja nakuja Dar nilikata ticket boat ya saa 10:30 jioni
Kwenye saa 9:00 alasiri nikawa nishamaliza shughuli zangu nikawapigia Azam kama kuna boat b4 saa 10:30 wakaomba details zangu wakaniambia niwahi port kuna boat ya saa 9:15 alasiri. Saa 9:30 tukaanza safari
Usiwalaumu Azam peke yao uliza uambiwe madudu yanayofanywa na ATCL ya kumsubiri Mheshimiwa XYZ zaidi ya masaa 2
No hurry in Africa
Ciao
Nimekata tiketi boat ya saa 3 kamili lakini huwezi amini boat imeondoka saa 3 na dakika 37. Dakika zote hizi zinatosha kabisa kukufelisha deal zako ukabaki masikini wakati waonwashaingiza pesa.
SO SAD AFRIKA BADO TIME KEEPING NI TATIZO NA NDIO CHANZO CHA UMASIKINI.