Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Wadau,
Niko kwenye ofisi za Azam hapa nimekata Ticket ya kwenda Zanzibar asubuhi hii kutembea na Mtoto wangu.
Cha ajabu wote wawili tumepewa Ticket zenye kufanana Namba jambo ambalo sidhani kama ni sahihi.
Katika kufuatilia kwa abiria wenzangu nikagundua wapo wengine waliopewa nao tickets zenye kufanana namba.
Wasiwasi wangu ni kua labda wakatisha tiket wanamuibia Bakhressa,
Au Bakhressa anashirikiana nao kuiibia Serikali kwa ku-lower idadi ya abiria.
Niko kwenye ofisi za Azam hapa nimekata Ticket ya kwenda Zanzibar asubuhi hii kutembea na Mtoto wangu.
Cha ajabu wote wawili tumepewa Ticket zenye kufanana Namba jambo ambalo sidhani kama ni sahihi.
Katika kufuatilia kwa abiria wenzangu nikagundua wapo wengine waliopewa nao tickets zenye kufanana namba.
Wasiwasi wangu ni kua labda wakatisha tiket wanamuibia Bakhressa,
Au Bakhressa anashirikiana nao kuiibia Serikali kwa ku-lower idadi ya abiria.