Azam Marine yaongeza nauli kwenda Zanzibar, kuanza kutumika kesho Mei 19

Safi Azam,

Heko mama , endelea kuifungua nchi.
 
Mafuta yamepanda kila kitu kitapanda imagine raisi wa nchi anaongea kauli kama hiyo kweli.
 
Hizo bei za Foreigners zinadhihirisha Ujinga wa waTZ
 
Haya mambo ya bei tofauti kwa mujibu wa utaifa yanapromote ubaguzi, sisi ndo wa kwanza kulalamika ubaguzi. Kwani huyo foreigners anapewa huduma tofauti na mswahili, haya mambo unayakuta pia mbugani na kwenye hotel za kitalii.
Kisha unataka kupromote utalii huku unawaweka bei za kibaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…