AZAM MEDIA hakikisheni watangazaji wenu (Baraka mpenja,Patrick Nyembera n.k) wanapata elimu ya msingi kuhusiana na michezo wanayoitangaza mubashara

AZAM MEDIA hakikisheni watangazaji wenu (Baraka mpenja,Patrick Nyembera n.k) wanapata elimu ya msingi kuhusiana na michezo wanayoitangaza mubashara

Tuachieni mwamba wetu wa umalila. Azam media hawajakurupuka tu kumpa mechi nyingi yeye kuliko jamaa yenu Ghalib, mkitaka hizo mnazoziita fact subirini akipangwa Ghalib
 
Tuachieni mwamba wetu wa umalila. Azam media hawajakurupuka tu kumpa mechi nyingi yeye kuliko jamaa yenu Ghalib, mkitaka hizo mnazoziita fact subirini akipangwa Ghalib
mpenja akasome kwa Gharib Mzinga sio unashabikia kelele tu bila content sawa anachangamsha game so baada ya hapo umepata kitu gani kngne tofaut na kelele hzo ...ukimsikiliza Gharib Mzinga unapata vitu vingi mkuu
 
mpenja akasome kwa Gharib Mzinga sio unashabikia kelele tu bila content sawa anachangamsha game so baada ya hapo umepata kitu gani kngne tofaut na kelele hzo ...ukimsikiliza Gharib Mzinga unapata vitu vingi mkuu
Ukitaka content wafuatilie football analyst, ikumbukwe Baraka ni football commentator kazi yake kubwa kuripoti matukio yanayoendelea wakati huo wa mchezo hayo mambo ya historia,sijui ukanda mara huyo mchezaji bibi yake alipigana vita ya majiamaji pale sio mahala pake, Baraka is on his prime let him shine Aiseee.
 
Ukitaka content wafuatilie football analyst, ikumbukwe Baraka ni football commentator kazi yake kubwa kuripoti matukio yanayoendelea wakati huo wa mchezo hayo mambo ya historia,sijui ukanda mara huyo mchezaji bibi yake alipigana vita ya majiamaji pale sio mahala pake, Baraka is on his prime let him shine Aiseee.
Sawa kiongozi wa vita vya majimaji ...sasa mkuu naomb nikuulize swali dogo tu tofauti ya mpenja na mzinga ni kelele au kueleza matukio yanayotokea uwanjani? maana wote wanaelezea matukio yanayotekea uwanjani au tofauti ni uwasilishaji ,au mwingne ni pilipili kali na mwngne ni pilipili hoho !!!
 
Yule refa wa pambano la mandonga alipuyanga na tayari ameshafungiwa
Haiwezekani mandonga aangushwe chini na clear punch halafu anamuacha aamke bila kumhesabia
Mandonga alimsukuma mpinzani wake akaanguka chini huyo refa akaenda kumhesabia
Inawezekana jamaa ni mtaalamu ila aliamua makusudi kufanya yale madudu
Hawezi kufungiwa yule yaan mwenyekit ajifungie umesikia wapi jamaa anajuwa alfu Ni mwalim mzur wa sheria za ngumi anajuwa had Ana kera Mr mkarafuu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Yule refa wa pambano la mandonga alipuyanga na tayari ameshafungiwa
Haiwezekani mandonga aangushwe chini na clear punch halafu anamuacha aamke bila kumhesabia
Mandonga alimsukuma mpinzani wake akaanguka chini huyo refa akaenda kumhesabia
Inawezekana jamaa ni mtaalamu ila aliamua makusudi kufanya yale madudu

Refarii alikuwa sahihi sana, isipokuwa yule bondia hajui sheria vizuri

Pale alipomuangusha Mandonga alitakiwa akasimame kwenye neutral corner ampe uhuru refa wa kumhesabia Mandonga lakn badala yake akawa anaendelea kumzonga zonga Mandonga kama anataka kumtwanga punch nyngne hv ndipo refa akatumia muda mwng kumblock na kumuelezea kwamba aondoke pale aende neutral corner wkt huo huo Mandonga akaendelea kurecover mpk akasimama

Hii pía ilishatokea kwenye pambano la Dulla Mbabe vs Twaha Kiduku
Dulla alimuangusha Kiduku badala aende kwenye neutral corner akawa anazengea zengea eneo lile lile, hvyo refa akatumia sekunde kadhaa kumfata na kumkumbusha kwamba aondoke pale ili akamhesabie Kiduku wkt huo Kiduku akaendelea kurecover

Bw Chaurembo kavunja pambano la Mandonga kwa mihemko sana
 
Naunga mkono hoja kuna mapungufu mengi sana, hata wale camera man wajitahidi kuvaa reflector sio kuvaa kawaida kama watu wengine
 
Amani iwe nanyi.

Nikiwa kama mdau wa michezo, napenda kuishauri kampuni ya habari ya AZAM kuhakikisha kuwa uwekezaji wao wanaoufanya katika tasnia ya michezo unaendana sambamba na kuwapa elimu ya msingi (basic education) watangazaji na wachambuzi wao.

Niipongeze kampuni ya Azam Media katika juhudi zake za kufufua michezo ya mpira,ndondi n.k ila inatakiwa ishirikiane na vyama vya michezo husika katika kuwapa elimu hawa watangazaji wao kina Baraka Mpenja,pascal kabombe,iddi salum,hashim ibwe,patrick Nyembera n.k kuhusiana na michezo wanayoitangaza.

Kama mtangazaji anatangaza kuhusu masuala ya mpira mathalani mechi basi awe na elimu ya awali kuhusiana na mpira na si kutangaza tu fulani kachukua boli kampa yule, mayele katetema, sakho kanyunyiza n.k

MaJuzi kuna tukio lilitokea kwenye boxing katika mechi ya Mandonga dhidi ya Salum Abeid, Mandonga aliangishwa chini ,Refa akawa anamtoa mpinzani wa mandonga asiendelee kumshambulia mandonga akiwa chini.Huku watangazaji wakawa wanapayuka kuwa refa hafai ,afungiwe n.k kwanza katika ethics za utangazaji huwezi kusema refa afungiwe kwasababu huna mamlaka hayo. Tunaona blunders zikifanywa na marefa wa Epl ila huwezi kumsikia mtangazaji kama Peter Drury akipayuka kuwa marefa wafungiwe n.k.

Hivyo basi kampuni ya Azam Media ihakikishe watangazaji wake wanapatiwa elimu juu ya michezo wanayoitangaza kabla hawajashika microphone au wahakikishe kuwa wanaweka mtangazaji namba mbili ambaye atakuwa akisaidiana na hawa watangazaji kuchambua aspects of the game kama sheria, masuala ya kimbinu n.k. kama wanavyofanya katika mataifa yaliyoendelea kimichezo huko ulaya na America.

Mechi za ulaya hutangazwa na watangazaji wawili , wa kwanza huwa ni mtangazaji wa kawaida ila mtangazaji wa pili ni lazima awe alicheza soka la kulipwa au ana taaluma ya ukocha mfano mzuri ni Andy Townsend anayefanya uchambuzi wakati mechi inaendelea. Ina maana ana uwezo wa kuelezea mabadiliko ya kimbinu yanayofanywa na makocha n.k

Hata katika boxing/basketball lazima wawepo watangazaji ambao walikuwa ni wachezaji hapo kabla au makocha. Mfano mzuri ni combination ya Jesse john na marehemu Mwalimu Kashasha.

Ni hayo tu.
Nimeshangazwa mno kuona Patrick Nyembera ambaye namjua ni Mdau mkubwa wa Mpira wa Miguu tu tokea akiwa EAtv kupewa Kutangaza Mchezo wa Masumbwi ambao kiukweli hana Ufahamu nao.
 
Amani iwe nanyi.

Nikiwa kama mdau wa michezo, napenda kuishauri kampuni ya habari ya AZAM kuhakikisha kuwa uwekezaji wao wanaoufanya katika tasnia ya michezo unaendana sambamba na kuwapa elimu ya msingi (basic education) watangazaji na wachambuzi wao.

Niipongeze kampuni ya Azam Media katika juhudi zake za kufufua michezo ya mpira,ndondi n.k ila inatakiwa ishirikiane na vyama vya michezo husika katika kuwapa elimu hawa watangazaji wao kina Baraka Mpenja,pascal kabombe,iddi salum,hashim ibwe,patrick Nyembera n.k kuhusiana na michezo wanayoitangaza.

Kama mtangazaji anatangaza kuhusu masuala ya mpira mathalani mechi basi awe na elimu ya awali kuhusiana na mpira na si kutangaza tu fulani kachukua boli kampa yule, mayele katetema, sakho kanyunyiza n.k

MaJuzi kuna tukio lilitokea kwenye boxing katika mechi ya Mandonga dhidi ya Salum Abeid, Mandonga aliangishwa chini ,Refa akawa anamtoa mpinzani wa mandonga asiendelee kumshambulia mandonga akiwa chini.Huku watangazaji wakawa wanapayuka kuwa refa hafai ,afungiwe n.k kwanza katika ethics za utangazaji huwezi kusema refa afungiwe kwasababu huna mamlaka hayo. Tunaona blunders zikifanywa na marefa wa Epl ila huwezi kumsikia mtangazaji kama Peter Drury akipayuka kuwa marefa wafungiwe n.k.

Hivyo basi kampuni ya Azam Media ihakikishe watangazaji wake wanapatiwa elimu juu ya michezo wanayoitangaza kabla hawajashika microphone au wahakikishe kuwa wanaweka mtangazaji namba mbili ambaye atakuwa akisaidiana na hawa watangazaji kuchambua aspects of the game kama sheria, masuala ya kimbinu n.k. kama wanavyofanya katika mataifa yaliyoendelea kimichezo huko ulaya na America.

Mechi za ulaya hutangazwa na watangazaji wawili , wa kwanza huwa ni mtangazaji wa kawaida ila mtangazaji wa pili ni lazima awe alicheza soka la kulipwa au ana taaluma ya ukocha mfano mzuri ni Andy Townsend anayefanya uchambuzi wakati mechi inaendelea. Ina maana ana uwezo wa kuelezea mabadiliko ya kimbinu yanayofanywa na makocha n.k

Hata katika boxing/basketball lazima wawepo watangazaji ambao walikuwa ni wachezaji hapo kabla au makocha. Mfano mzuri ni combination ya Jesse john na marehemu Mwalimu Kashasha.

Ni hayo tu.
Well said.
 
Back
Top Bottom