Azam Media kama hamuwezi Kuvumilia habari za DW Acheni Kurusha..

Azam toka kipindi cha JPM, jamaa hawatakagi shida na serikali, hutasikia siku wameiokosoa serikali toka wakati wa JPM hadi leo
Kuikosoa serikali wala siyo Tatizo. Tatizo kubwa ni kuficha maovu ya serikali
 
Anzisha TV Station yako halafu kutwa kucha utupigie nyimbo zetu pendwa Wana CCM za Kapteni Kombat! Nyau weweee!!!
 
we tuoneshe iliyobuniwa na mamaako inavyoisaidia dunia
ndo matatizo ya afya ya akili mliyonayo wafiadini badala ya kujibu hoja unaleta mihemko isiyo na tija, nitajie,hospital,shule na vyuo ,vilivyo jengwa na tasisi yenu.kingine nitajie teknojia iliyobuniwa na mwarabu na inaisaidia dunia zaidi ya kuleta dini inayotugawa na kuleta machafuko duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…