OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
- Thread starter
- #21
Wanatumia camera za harusini kwani?mbona ni za viwango hizo mkuuBora iyo tenda achukue Zamaradi Tv
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatumia camera za harusini kwani?mbona ni za viwango hizo mkuuBora iyo tenda achukue Zamaradi Tv
Aisee umeongea kitu cha maana Sana. Hivi running track zina kazi gani aiku hizi?
Running tracks sioni umuhimu wake. Kwanza ni kunyima mashabiki waliofika viwanjani fursa ya kuona vizuri kwa ukaribu mechi
Mechi za kimataifa? Mbona kama uefa huw inapigwa kwenye viwanja visivyo na running tracks?
TUNA LAANA!Mambo ya mtu mweusi,tukubali tukatae mtu mweusi ana akili ndogo
Mkuu kama vipi embu waombe TFF wakupe angalau msimu mmoja tu uoneshe boli kama lile la EPL! Ukifanya hivyo, Azam atajirekebisba tu!Habari wakuu,
Wale wapenzi wa mpira kuna wakati unatizama mechi za NBCPL unashangaa wachezaji wanashangilia goli, unajiuliza wamefunga saa ngapi na wwmefungaje fungaje!
Unasubiri replay, napo unaona video nzuri lakini wachezaji wanaonekana kama sisimizi huwatambui vizuri licha ya kuwa unamiliki TV inch 72 full HD😡
Mfano goli la Selebwenzi alofungia kati kati ya uwanja, goli la Dogo wa KMC akiwafunga Yanga, Goli la Sowah akiwafunga yanga , Tukio la jana la mchezaji wa Namungo kupigwa Red card ile video replay hata haieleweki slow motion yenyewe haieleweki mpaka mtizamaji unashindwa kujua kinachoendelea mpaka tuanze kuulizana, mbaya zaidi wachambuzi wa makao makuu nao ile replay hawaioni vizuri bsdala yake inawabidi watumie akili ya kuzaliwa waanze kuchambua kwa kutumia body language kuwa mchezaji kaweka mikono kichwani maana yake anajua alichokifanya hapa ilitakiwa Azam media mtuonyeshe tukio kwa usahihi
Yaani video replay na live footage haionyeshi kwa ukaribu, video zinakua ndogo wachezaji kama sisimizi, replay yenyewe haieleweki
Licha ya kuwa na vifaa bora nadhani shida ipo kwa watu wanaovitumia hivyo vifaa
Tizama hapa umbali ambao camera zimewekwa na hawa wataalam
View attachment 3242494View attachment 3242495
Hapo ukifikiria vizuri hawa watu watakuwa na shida ya macho huenda wanaugonjwa wa kutokuona vitu vya karibu
Au pengine hawafikirii vizuri aoutput ya video na ukubwa wa wachezaji kwenye TV
Ile crew inayo kaa kwenye lile bus la kuchanganya picha na Director wake hivi huwa haoni huu utumbo?
Tunalipia elfu 28 kwa mwezi lakini hawatutendei haki watazamaji
Mzee bakhresa, Yusuph Bakrehsa kama utaupata huu ujumbe tunaomba uufanyie kazi hili jambo
Nawasilisha.
Acha uongo
Wewe unaongelea jambo ambalo hauna ufahamu nalo kabisa.View attachment 3242789
Runing track ndio zibgesaidia camera
Man kupata eneo zuri
Hoja yenu haina mashiko
Point yangu mimi kuna umuhimu gani hao watu wa azam kukaa huko majukwqani na camera zao mpaka picha zinakuwa ndogo wachezaji wanakuwa kama sisimizi kwenye runinga
Angalia hiyo screenshoot hata mechi za CAF huwa wanaweka hapo camera
Aisee mi mwenyewe nimeshangaa sana mtu hana exposure kabisa na mambo haya ni mtupu kabisa.Wewe unaongelea jambo ambalo hauna ufahamu nalo kabisa.
Camera za juu lazima ziwepo na ndiyo main cameras zinazotumika kuonyesha mpira na michezo mingine dunia nzima. Hauwezi kuweka main cameras chini huko unapotaka wewe. Camera za chini hata Azam wanazo na wanatumia na zinatumika kuonyesha nyongeza ya matukio ya mpirani kwa ukaribu zaidi, mfano wakati mpira unarushwa, kumuonyesha kocha, nk.
Hoja ya running tracks ni kwamba siyo tu watazamaji wanapata kuona mpira kwa ukaribu zaidi lakini hata hizo camera za juu nazo zinakuwa zimesogea karibu zaidi ya uwanja na kupata hiko unacholilia. Kutokuwepo running tracks hakuzuii kuwepo kwa camera za chini.
Halafu inawezekana watu kama nyie ndiyo mpo serikalini watoa ushauri halafu unaonyesha level hii ya kutokuwa na ufahamu.
View attachment 3242789
Runing track ndio zibgesaidia camera
Man kupata eneo zuri
Hoja yenu haina mashiko
Point yangu mimi kuna umuhimu gani hao watu wa azam kukaa huko majukwqani na camera zao mpaka picha zinakuwa ndogo wachezaji wanakuwa kama sisimizi kwenye runinga
Angalia hiyo screenshoot hata mechi za CAF huwa wanaweka hapo camera
Anachekesha huyo.Mechi za kimataifa? Mbona kama uefa huw inapigwa kwenye viwanja visivyo na running tracks?
Hahah mkuu umelalamika SanaHabari wakuu,
Wale wapenzi wa mpira kuna wakati unatizama mechi za NBCPL unashangaa wachezaji wanashangilia goli, unajiuliza wamefunga saa ngapi na wwmefungaje fungaje!
Unasubiri replay, napo unaona video nzuri lakini wachezaji wanaonekana kama sisimizi huwatambui vizuri licha ya kuwa unamiliki TV inch 72 full HD😡
Mfano goli la Selebwenzi alofungia kati kati ya uwanja, goli la Dogo wa KMC akiwafunga Yanga, Goli la Sowah akiwafunga yanga , Tukio la jana la mchezaji wa Namungo kupigwa Red card ile video replay hata haieleweki slow motion yenyewe haieleweki mpaka mtizamaji unashindwa kujua kinachoendelea mpaka tuanze kuulizana, mbaya zaidi wachambuzi wa makao makuu nao ile replay hawaioni vizuri bsdala yake inawabidi watumie akili ya kuzaliwa waanze kuchambua kwa kutumia body language kuwa mchezaji kaweka mikono kichwani maana yake anajua alichokifanya hapa ilitakiwa Azam media mtuonyeshe tukio kwa usahihi
Yaani video replay na live footage haionyeshi kwa ukaribu, video zinakua ndogo wachezaji kama sisimizi, replay yenyewe haieleweki
Licha ya kuwa na vifaa bora nadhani shida ipo kwa watu wanaovitumia hivyo vifaa
Tizama hapa umbali ambao camera zimewekwa na hawa wataalam
View attachment 3242494View attachment 3242495
Hapo ukifikiria vizuri hawa watu watakuwa na shida ya macho huenda wanaugonjwa wa kutokuona vitu vya karibu
Au pengine hawafikirii vizuri aoutput ya video na ukubwa wa wachezaji kwenye TV
Ile crew inayo kaa kwenye lile bus la kuchanganya picha na Director wake hivi huwa haoni huu utumbo?
Tunalipia elfu 28 kwa mwezi lakini hawatutendei haki watazamaji
Mzee bakhresa, Yusuph Bakrehsa kama utaupata huu ujumbe tunaomba uufanyie kazi hili jambo
NawasiliHaHaj