Azam Media na TFF mnahujumu soka letu

Azam Media na TFF mnahujumu soka letu

mmteule

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2011
Posts
5,883
Reaction score
14,600
Wakuu Igweeeeee.
Naomba radhi sana kwa wale ambao hawatapendezwa na huu Ukweli. Azam Media kwa kushirikiana na Bodi ya Ligi na TFF mmeamua kwa sababu zenu kuhujumu Soka letu katika kipengele cha Kuhakikisha Azam Media anauza zaidi haki za Matangazo na kuzuia timu kupata viingilio vya Milangoni kwenye Viwanja hasa Uwanja wa Mkapa.

Tarehe 26/12/2021 YANGA vs BIASHARA ni siku ya Mapumziko yaani BOXING DAY unapangaje hii mechi ichezwe Usiku saa 1??? Kama siyo Hujuma ni nini? Kwanini? Ili tusije na familia usiku tubaki kununua Ving'amuzi vyenu??? Ili timu ikose Hamasa?? Lengo ni nini?? Ni Hujuma tu hakuna kingine ili mdhamini wenu afanye biashara zake.

Tarehe 01/01/2022 Simba vs Azam ni Siku ya Sikukuu kwanini Mechi ichezwe saaa 1 Usiku???? Sababu mnaijuaa mkiweka mechi saa 9 au Kumi jioni Uwanja Utajaaa pomoni Simba itafaidi Viingilio na Azam Media atakosa watazamaji kadhaaa. Sasa sisi Walaji wa soka tutaenda FAIR COMPETITION tumechoka kukabwa usiku tukitoka kwenye mechi muhimu. Tunataka timu zetu kubwa msizileteee huuu uhuni. MPIRA NI BURUDANI msitulazimishe kuangalia mpira kwenye Luninga matangazo yenyewe na mvua hizi picha kimeooooooo!

Nawaambia hili siyo lazima BaaaBraaa aingilie kati! JF Members tupaze sauti huuu uhuni ukome!
 
Bado sijakuelewa kabisa sasa mechi kuwa saa moja na mashabiki kuingia uwanjani na Azam kukosa watazamaji wa visimbuzi vyao hebu usianisha vizuri hapo
 
Bado sijakuelewa kabisa sasa mechi kuwa saa moja na mashabiki kuingia uwanjani na Azam kukosa watazamaji wa visimbuzi vyao hebu usianisha vizuri hapo
Mechi ya za Jioni Mashabiki wanakuwa wengi Viwanjani na huenda Uwanja utajaa timu zinafaidi kwa Angle hiyo.
Mechi za Saa 1 Usiku hakuna waendaji maana Wazeee, watoto, Wanawake, Walemavu huwezi kuwakuta mechi za usiku lkn mechi za Mchana ni Vice versa. Endapo hawaendi uwanjani maaana yake wanaingia kwenye Ununuzi wa Ving'amuzi vya Azam au kuangalia kwa Runinga ili waone matangazo yao ya energy Drink and the like
 
Mechi ya za Jioni Mashabiki wanakuwa wengi Viwanjani na huenda Uwanja utajaa timu zinafaidi kwa Angle hiyo.
Mechi za Saa 1 Usiku hakuna waendaji maana Wazeee, watoto, Wanawake, Walemavu huwezi kuwakuta mechi za usiku lkn mechi za Mchana ni Vice versa. Endapo hawaendi uwanjani maaana yake wanaingia kwenye Ununuzi wa Ving'amuzi vya Azam au kuangalia kwa Runinga ili waone matangazo yao ya energy Drink and the like
Hapo ndio nimekuelewa sasa umegusa kwenye angles
 
Wakuu Igweeeeee.
Naomba radhi sana kwa wale ambao hawatapendezwa na huu Ukweli. Azam Media kwa kushirikiana na Bodi ya Ligi na TFF mmeamua kwa sababu zenu kuhujumu Soka letu katika kipengele cha Kuhakikisha Azam Media anauza zaidi haki za Matangazo na kuzuia timu kupata viingilio vya Milangoni kwenye Viwanja hasa Uwanja wa Mkapa.
Tarehe 26/12/2021 YANGA vs BIASHARA ni siku ya Mapumziko yaani BOXING DAY unapangaje hii mechi ichezwe Usiku saa 1??? Kama siyo Hujuma ni nini? Kwanini? Ili tusije na familia usiku tubaki kununua Ving'amuzi vyenu??? Ili timu ikose Hamasa?? Lengo ni nini?? Ni Hujuma tu hakuna kingine ili mdhamini wenu afanye biashara zake.

Tarehe 01/01/2022 Simba vs Azam ni Siku ya Sikukuu kwanini Mechi ichezwe saaa 1 Usiku???? Sababu mnaijuaa mkiweka mechi saa 9 au Kumi jioni Uwanja Utajaaa pomoni Simba itafaidi Viingilio na Azam Media atakosa watazamaji kadhaaa. Sasa sisi Walaji wa soka tutaenda FAIR COMPETITION tumechoka kukabwa usiku tukitoka kwenye mechi muhimu. Tunataka timu zetu kubwa msizileteee huuu uhuni. MPIRA NI BURUDANI msitulazimishe kuangalia mpira kwenye Luninga matangazo yenyewe na mvua hizi picha kimeooooooo! Nawaambia hili siyo lazima BaaaBraaa aingilie kati! JF Members tupaze sauti huuu uhuni ukome!
Usiwalalamikie Azam,jitafakari mwenyewe we ni shabiki wa aina gani timu yako ikicheza mida fulani huwezi kwenda kuingalia?

Saa moja sio usiku wa kushindwa kwenda na familia taifa kuangalia mpira

Kuna mashabiki maarufu wa Yanga na Simba timu zao ziende popote wakati wowote na wao wapo si sikukuu si mchana/usiku si mvua/jua

Azam anajua udhaifu wenu ndo maana anawakomesha,shabiki wa mpira hutakiwi kuhoji vitu vya ovyo km ivyo,kama kweli we shabiki wa mpira utaenda uwanja any time.Mtu mzima kila siku kwake inaweza kuwa sikukuu hizi Christmas,mwaka mpya na Eid waachieni watoto.

Siku Azam Media wakizuia mashabiki wasiende viwanjani ndo tutaunga mkono hizi hoja lkn hakuna namna ambayo Azam wamekuzuia usiende uwanjani ni wewe tu kwamba sio shabiki kweli wa timu yako na mpira kwa ujumla

WACHA AZAM WATUMIE UDHAIFU WENU MASHABIKI KUTENGENEZA PESA KUPITIA VING'AMUZI.NO EXCUSE SAA MOJA UNAANGALIA YANGA TAIFA SAA TATU NDO MIDA MIZURI YA KWENDA BATANI AU KULALA
 
Usiwalalamikie Azam,jitafakari mwenyewe we ni shabiki wa aina gani timu yako ikicheza mida fulani huwezi kwenda kuingalia?

Saa moja sio usiku wa kushindwa kwenda na familia taifa kuangalia mpira

Kuna mashabiki maarufu wa Yanga na Simba timu zao ziende popote wakati wowote na wao wapo si sikukuu si mchana/usiku si mvua/jua

Azam anajua udhaifu wenu ndo maana anawakomesha,shabiki wa mpira hutakiwi kuhoji vitu vya ovyo km ivyo,kama kweli we shabiki wa mpira utaenda uwanja any time.Mtu mzima kila siku kwake inaweza kuwa sikukuu hizi Christmas,mwaka mpya na Eid waachieni watoto.

Siku Azam Media wakizuia mashabiki wasiende viwanjani ndo tutaunga mkono hizi hoja lkn hakuna namna ambayo Azam wamekuzuia usiende uwanjani ni wewe tu kwamba sio shabiki kweli wa timu yako na mpira kwa ujumla

WACHA AZAM WATUMIE UDHAIFU WENU MASHABIKI KUTENGENEZA PESA KUPITIA VING'AMUZI.NO EXCUSE SAA MOJA UNAANGALIA YANGA TAIFA SAA TATU NDO MIDA MIZURI YA KWENDA BATANI AU KULALA
Omba Munguz akuzidishie Busara na Utu. Unavijua vitendo vya Ukabaji na kupigwa ngeta?? Huuuujui Ubakaji kwa Wanawake wawapo peke yao Usiku?? Unawajua walemavu na Wazee? Unajua kwamba nyakati za Usiku Mashabiki wanaotoka Vikindu, Mwasonga, Morogoro, bagamoyo nk hawawezi kuja Uwanjani maaana muda mechi inamalizika saa 3 usiku hawawezi pata usafiri qa kurudi makwao?
Tumia akili Mkuu, masaburi yaaachie msalani tu sio kufikiri.
 
Kabisa mkuu,zamani ilikua unatoka moro unafika saa 10 unacheck game saa 12 jioni unageuza vizuri na abood lakin siku hizi haiwezikani,
Wale wa kazi wa dar wa pembezoni muda umekua sio rafiki kabisa sababu ya umbali. Azam wanahujumu sana mpira
 
Kabisa mkuu,zamani ilikua unatoka moro unafika saa 10 unacheck game saa 12 jioni unageuza vizuri na abood lakin siku hizi haiwezikani,
Wale wa kazi wa dar wa pembezoni muda umekua sio rafiki kabisa sababu ya umbali. Azam wanahujumu sana mpira
Ujumbe wameupata Mkuu, hata wakijifanya kupita kimia kimia habari ndiyo hiyo. Ni upuuuzi mkubwa sana wanatufanyia hawa walafi
 
Kwa post hii mimi wa kijijini nimepata picga kuwa Dar ni sehemu ya kishamba sana. Yaani saa 3 mtu wa Dar aanakosa usafiri. Yaani saa 3 watu wanakabwa na kubakwa huko Dar?
Kijijini kwetu huku Mweka Kibosho walau saa 9 au 10 usiku ndio tunaweza kusikia matukio kama hayo.
Basi sasa nimegundua mnaotoka Dar kuja kijijini huwa mnatujaza sana mnapotuambia kuwa Dar watu hawalali.
 
Kwa post hii mimi wa kijijini nimepata picga kuwa Dar ni sehemu ya kishamba sana. Yaani saa 3 mtu wa Dar aanakosa usafiri. Yaani saa 3 watu wanakabwa na kubakwa huko Dar?
Kijijini kwetu huku Mweka Kibosho walau saa 9 au 10 usiku ndio tunaweza kusikia matukio kama hayo.
Basi sasa nimegundua mnaotoka Dar kuja kijijini huwa mnatujaza sana mnapotuambia kuwa Dar watu hawalali.
Mkuuu huko Kibosho mpaka Rombo Vijana mshaharibika na Pombe za Viroba ndio maaana dada zenu wanakimbilia Kenya kupata huduma.
Endelea kuamini maisha ya Dar kama unavyoyaona kwenye Bongo Movie mkuu yaliyoko Site waaachie WanaDaaaaaslam wenyewe.
 
Mkuuu huko Kibosho mpaka Rombo Vijana mshaharibika na Pombe za Viroba ndio maaana dada zenu wanakimbilia Kenya kupata huduma.
Endelea kuamini maisha ya Dar kama unavyoyaona kwenye Bongo Movie mkuu yaliyoko Site waaachie WanaDaaaaaslam wenyewe.
Bora wanaokimbilia kenya kwa kweli. Nasikia huko dar nusu ya vijana mmeshaingia kwenye ule mchezo wa wenyewe kwa wenyewe.
BTW pombe za viroba zitakuwa huko dar tu.... Huku kwetu hazipo tena.
 
Umri wako tafadhari

Wakat Azam anastahili kubeba tuzo ya kuwa mdau mzr wa michezo Tz
 
Utopolo tu.
Azam kaanza leo kuonesha mechi?
Chunguza vzuri ratiba ya Mechi kipindi cha nyuma siyo kama sasa. Kwa sasa Mechi inaaanza saaa 3 usiku zamani ilikuwa hivyo?? Unadhan Wale maafisa Masoko wa Azam Media unalingana nao uwezo wa kufikiri Mkuu. Huwezi jua kile wamelenga kwa upeo wako wewe
 
Back
Top Bottom