yote sawa, tisa kumi kwanini timu zetu azipe milioni mia tu kwa mwaka ambayo ni sawa na milioni tano za kenya, halafu wakenya awape milioni mia mbili kwa mwaka sawa na milioni kumi za kenya... Sababu hasa ni nini????????????
Pengine ni matangazo mengi ya makampuni yenye base Kenya yatakayokuwa yanaenda na mechi zitakazo oneshwa live ktk TV hivyo matangazo mengi siyo ya AZAM tu labda hata Heineken Beer n.k yataweza kupenyezwa wakati wa urushaji wa mechi live na hivyo timu za Kenya na Azam TV (Kenya) kugawana kipato zaidi.
Azam TV2 Tanzania nao labda mwakani wataweza kupata matangazo zaidi ya Juice/ice-cream na hivyo kuongeza kipato pale makampuni yaliyoko Tanzania wakigundua umuhimu wa kutangaza bidhaa na huduma zao AZAM TV Media Tanzania channel 2 sports.