Mimi niupongeze sana uongozi wa Azam media kwa habari njema ihi,nimafanikio makubwa sana kwa kampuni ihi.
Watanzania wengi wenye uwezo mdogo wa kipato imekua ni ngumu wao kupata burudani haswa mipira,
kume kuwepo na makampuni mengi ya vingamuzi na yenye uwezo mkubwa kama (startimes) lakini habari za mipira kwo imekua ni hadithi na kuunga unga,
hakika vingamuzi vya azam tv sasa zitaanza kununuliwa kama njugu,maana ihi ni habari njema sana kwa wapenda soka
ila angalizo hatakama watapandisha gharama basi waangalie na hali za wananchi wasi waumize sana,