Tareeq
JF-Expert Member
- May 3, 2010
- 828
- 408
Itakuwa ni mara ya kwanza kwa vituo vya sehemu hii ya Afrika kuwa na matangazo haya na iwapo ndivyo Tido Dunsturn Muhando na kampuni ya Azam wana haki ya kuwa juu , sijui kama itakuwaje naogopa isijekuwa tena huko mbele tunauziwa vifurushi kwa bei za Dola Chonde chole wandugu