moondampwani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2014
- 535
- 169
Mtaweza kununua kifurushi kwa 70?
Mbona watu wanalipia dstv kwa 200000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaweza kununua kifurushi kwa 70?
Hawataonesha mechi zote.. hapo ni mechi moja kwa wiki tena zile kubwa kama El Clasico sijui
Mkuu mbona wamesema mechi zote
Hawezi pewa exclusive right maana hata Dstv hana exclusive right ndo maana anaonesha mechi kadhaa.
Mechi 20 ni kazi na ndo maana hata EPL dstv haoneshi zote 20 kwa siku au wiki
Hawataonesha mechi zote.. hapo ni mechi moja kwa wiki tena zile kubwa kama El Clasico sijui
Mimi sio mpenzi wa La Liga ila ni kada wa EPL tangu enzi za David Ginola, Paul Wanchope, Andy Cole nk. So, Wakipata hati miliki ya EPL nitanunua king'amuzi chao. DSTV bei yao iko juu sana, sawa na kodi ya nyumba bwana!!!
Hawataonesha mechi zote.. hapo ni mechi moja kwa wiki tena zile kubwa kama El Clasico sijui
Hawezi pewa exclusive right maana hata Dstv hana exclusive right ndo maana anaonesha mechi kadhaa.
Mechi 20 ni kazi na ndo maana hata EPL dstv haoneshi zote 20 kwa siku au wiki