Azam mlichonga njia mbovu kumpata Feisal, sasa kibao kimewageukia muachieni pia Prince Dube akatafute maisha kwingine!

Azam mlichonga njia mbovu kumpata Feisal, sasa kibao kimewageukia muachieni pia Prince Dube akatafute maisha kwingine!

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Waswahili husema mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu, mchezaji wa Azam, Prince Dube ameandika barua ya kuvunja mkataba ambao umebakiza miaka 2!

Jambo hili sio jambo zuri hata kidogo kwenye soka letu, suala la mchezaji kukosa tu furaha na akaamka asubuhi na kuandika barua ya kuvunja mkataba ni jambo la ovyo sana!

Lilitokea kwa Feisal na watu wa ovyo ambao hawakujua ni kitu gani kinatengenezwa wakawa wanaunga mkono ujinga ule matokeo yake kilichofanyika ndio kinakwenda kufanyika Tena kwa Prince Dube!

Tuliwaonya Azam juu ya kile walichokifanya kwa Feisal Salum kumrubuni na kutumia njia za hovyo kumpata akiwa bado na mkataba wa mwaka mmoja na nusu lakini walitetewa na mchezaji alipata watetezi wapuuzi wapuuzi waliokuwa na maslahi na upande ule, sasa basi leo hii kile kile kimewakuta kwa mchezaji ambae bado ana mkataba mrefu kuandika barua ya kuvunja mkataba!

Kwa juu juu unaweza Kuona Kama ni jambo la kawaida lakini nyuma ya Prince Dube Kuna msukumo wa ushawishi Kama ilivyokuwa kwa Feisal, Kuna kisasi kinataka kulipwa hapa kwa njia zile zile na kwa muktadha ule ule!

Na jambo hili litaendelea kwa wachezaji wengine na wengine kwakuwa njia ya kufanya ivyo aliitengeneza Azam mwenyewe hivyo basi wasiweke ugumu wowote kumuachia na michango ya kuvunja mkataba wake tutatoa Kama ilivyokuwa kwa feisal tuwekewe tu account ya bank tuanze mdogo mdogo kuzichanga!
 
Ndo maisha Yalivyo, Yanga Acheni nogwa...

Azam hawana Mpango wa Kumng'ang'ania Dube Kama Yanga walivyofanya kwa Fei toto....!
Hakuna mpira wa hivyo duniani tatizo ushabiki unawafanya hadi akili zinafyatuka timu ipo kati kati ya msimu anaibuka mchezaji anataka kuvunja mkataba uliona wapi hii kitu
 
Waswahili husema mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu, mchezaji wa Azam, Prince Dube ameandika barua ya kuvunja mkataba ambao umebakiza miaka 2!

Jambo hili sio jambo zuri hata kidogo kwenye soka letu, suala la mchezaji kukosa tu furaha na akaamka asubuhi na kuandika barua ya kuvunja mkataba ni jambo la ovyo sana!

Lilitokea kwa Feisal na watu wa ovyo ambao awakujua ni kitu gani kinatengenezwa wakawa wanaunga mkono ujinga ule matokeo yake kilichofanyika ndio kinakwenda kufanyika Tena kwa Prince Dube!

Tuliwaonya Azam juu ya kile walichokifanya kwa Feisal Salum kumrubuni na kutumia njia za ovyo kumpata akiwa bado na mkataba wa mwaka mmoja na nusu lakini walitetewa na mchezaji alipata watetezi wapuuzi wapuuzi waliokuwa na maslai na upande ule, sasa basi leo hii kile kile kimewakuta kwa mchezaji ambae bado ana mkataba mrefu kuandika barua ya kuvunja mkataba!

Kwa juu juu unaweza Kuona Kama ni jambo la kawaida lakini nyuma ya prince dube Kuna msukumo wa ushawishi Kama ilivyokuwa kwa Feisal, Kuna kisasi kinataka kulipwa hapa kwa njia zile zile na kwa muktadha ule ule!

Na jambo hili litaendelea kwa wachezaji wengine na wengine kwakuwa njia ya kufanya ivyo aliitengeneza Azam mwenyewe ivyo basi wasiweke ugumu wowote kumuachia na michango ya kuvunja mkataba wake tutatoa Kama ilivyokuwa kwa feisal tuwekewe tu account ya bank tuanze mdogo mdogo kuzichanga!
dube kachoka kurogwa kila siku
 
Utopolo na Azam wanajifanya kua na ushoga wa kinafiki,. Wacha walaluane wenyewe kwa wenyewe.

CEO wa Azam ni shabiki Kindakindaki wa utopolo

MsSEMAJI wa Azam ni shabiki kindakindaki wa utopolo


Itakua mkataba wa dube umevujishwa kwa uongozi wa utopolo wakaona kuna gape, uongozi wa dube ukafatwa ukapewa mchongo

Azam wakubali tu kumuachia mchezo wa kihuni waliuanza wenyewe
 
Waswahili husema mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu, mchezaji wa Azam, Prince Dube ameandika barua ya kuvunja mkataba ambao umebakiza miaka 2!

Jambo hili sio jambo zuri hata kidogo kwenye soka letu, suala la mchezaji kukosa tu furaha na akaamka asubuhi na kuandika barua ya kuvunja mkataba ni jambo la ovyo sana!

Lilitokea kwa Feisal na watu wa ovyo ambao awakujua ni kitu gani kinatengenezwa wakawa wanaunga mkono ujinga ule matokeo yake kilichofanyika ndio kinakwenda kufanyika Tena kwa Prince Dube!

Tuliwaonya Azam juu ya kile walichokifanya kwa Feisal Salum kumrubuni na kutumia njia za ovyo kumpata akiwa bado na mkataba wa mwaka mmoja na nusu lakini walitetewa na mchezaji alipata watetezi wapuuzi wapuuzi waliokuwa na maslai na upande ule, sasa basi leo hii kile kile kimewakuta kwa mchezaji ambae bado ana mkataba mrefu kuandika barua ya kuvunja mkataba!

Kwa juu juu unaweza Kuona Kama ni jambo la kawaida lakini nyuma ya prince dube Kuna msukumo wa ushawishi Kama ilivyokuwa kwa Feisal, Kuna kisasi kinataka kulipwa hapa kwa njia zile zile na kwa muktadha ule ule!

Na jambo hili litaendelea kwa wachezaji wengine na wengine kwakuwa njia ya kufanya ivyo aliitengeneza Azam mwenyewe ivyo basi wasiweke ugumu wowote kumuachia na michango ya kuvunja mkataba wake tutatoa Kama ilivyokuwa kwa feisal tuwekewe tu account ya bank tuanze mdogo mdogo kuzichanga!
Tukisema Jemadari Said ni Kanjanja anatetewa. Haya ajitokeze atetee maslahi ya Dube aondoke bure Azam maana amechoka maisha ya Chamazi. Huu nao ni uhuni kama uhuni mwingine. Nasubiri Jemadari mtetea Wahuni ajitokeze.
 
Back
Top Bottom