Azam mlichonga njia mbovu kumpata Feisal, sasa kibao kimewageukia muachieni pia Prince Dube akatafute maisha kwingine!

Azam mlichonga njia mbovu kumpata Feisal, sasa kibao kimewageukia muachieni pia Prince Dube akatafute maisha kwingine!

Hapana. Yanga walimwambia afuate utaratibu baada ya Fei kufuata utaratibu ambao Yanga hawakuafiki, ule wa kudeposit fedha. Baada ya hapo Fei hakujua ni utaratibu upi aufuate ndo makesi yakaanza na Yanga hawakusema wazi ni utaratibu gani wa kuufata. Azam wapo wazi kuwa lipa kiasi hichi.
Hakufata utaratibu wa mkataba. Ashukuru tu kauli ya Rais wa JMT
 
Masharti yapi? Si ndio Fei alichokuwa anataka kuambiwa? Msingi wa kesi ya Fei ulikuwa ni AFANYAJE ILI AWE HURU. Umesahau?
Afanyeje? Wakati mpaka anadeposit pesa kiuni?
 
Sisi kama Azam FC tumemwambia avunje mkataba wake Kwa ada ya Dola 300000.
Kumbukumbu za kimkataba zinaonyesha kua ni mfanya kazi wa Azam FC mpk 2026.


KAZI ni kipimo cha utu
 
Hakufata utaratibu wa mkataba. Ashukuru tu kauli ya Rais wa JMT
Utaratibu upi ambao Fei haujui na Yanga hawauesemi?

FEI ALIOMBA MUONGOZO KUWA AFANYE NINI AONDOKE, ALIVYOSHINDWA NDANI AKAENDA NJE KWA JAMBO HILO HILO LA AFANYE NINI AONDOKE NDO RAISI AKAINGILIA.
 
Mbona umeandika kama vile Azam hawataki kumuachia Dube,wakati tayari wameshakubaliana
 
Utaratibu upi ambao Fei haujui na Yanga hawauesemi?

FEI ALIOMBA MUONGOZO KUWA AFANYE NINI AONDOKE, ALIVYOSHINDWA NDANI AKAENDA NJE KWA JAMBO HILO HILO LA AFANYE NINI AONDOKE NDO RAISI AKAINGILIA.
Niambie hapa final aliondoka kwa kigezo kipi cha mkataba?
 
Wale watetezi waliojitokeza wakati wa Feisal mbona wapo kimya hawasemi lolote?
Kwani Dube hana haki?
Azam hawajagoma wamesema anunue mkataba wake wakae mezani,ishu ya Feisal Yanga walimgomea hadi rais kuingilia kati,Azam hawana shida
 
Niambie hapa final aliondoka kwa kigezo kipi cha mkataba?
Vigezo vile vile ambavyo havikuwekwa wazi Fei avifuate. Unadhani kuna jipya lililotokea? Mambo ni yale yale yalitumika.
 
Ile kauli ya afuate matakwa ya mkataba unadhani maana yake nini? Kwani Yanga walipokuwa wanawaambia mfuate mkataba mlikuwa mnasema nini??
Yanga walikuwa wanasema anayemtaka aje mezani,hawampi avunje mkataba,na walikuwa wanafanya vile makusudi maana siyo kipindi cha usajili ili mtu aliyemwekea hela feisal akijitokeza wamshitaki,sasa nani atajitokeza kipindi hicho
 
Hakuna uhuni wowote. Hakuna mkataba usiovunjika. Hii si biashara ya utumwa. Kila mkataba una exit clause.
Mkuu mbona mkataba wa kifo auvunjiki(Jokes).
Pia hakuna mkataba usio na utaratibu wa kuvunjika/kusitishwa/kukoma. Fei hakufuata
 
Lakini Azam hawaja mng'ang'ania Dube wamemuambia afuate taratibu za kuvunja mkataba ili awe huru.
Wewe unazani Yanga walimng'ang'ania Fei? Yanga walicho lalamika ni taratibu kutokufuatwa.

Hapo ndipo uone utofauti wa mchezaji wa nje na wa ndani. Dube kataka kuondoka kandika barua,Fei ametaka kuondoka kaweka mil 110 na kaandika barua,ndio uone wachezaji wa kibongo hawana washauri.

Na kama ingekuwa ulaya kwa swala kama la Fei,wangetindua mpaka kujua hela zimetoka wapi na kwa nani na bado Fei angepewa adhabu. Ila ndio hivyo mpira wetu wa ndani unasiasa, unaongozwa na hekima na busara na wala si sheria na kanuni.
 
Back
Top Bottom