Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Azam wapo clear, hawajataka porojo. Wamepokea barua, wametoa dau, wanasubiri chao, na mchezaji hawamtaki tena wanataka pesa. Yaani hakuna kuzungushana. Sasa Dube asipolipa hapo ndo matatizo.Wewe kama unabisha bisha,ila Dube kapigiwa simu kocha kuwa anamuhitaji mazoezini, Dube hajaonekana ndipo viongozi wakamtafuta na Source nimekiweka kama unabisha endelea kubisha,ila haibadilishi chochote.