moi wa kitaa JF-Expert Member Joined May 3, 2015 Posts 931 Reaction score 940 Aug 26, 2023 #41 zombiiie said: yanga anajua sana. yanga anafanya mpira kuonekana rahisi na ni uchawi Yanga kiukweli anajua sana. Click to expand... Teina inajua mpka inakeeeeela
zombiiie said: yanga anajua sana. yanga anafanya mpira kuonekana rahisi na ni uchawi Yanga kiukweli anajua sana. Click to expand... Teina inajua mpka inakeeeeela
Exy JF-Expert Member Joined Feb 7, 2022 Posts 3,146 Reaction score 5,520 Aug 26, 2023 #42 GENTAMYCINE said: Badala ya kuja siyo niachane tu na Mpumbavu Wewe? Click to expand... 😅 Vipi Kramo anaendeleaje?
GENTAMYCINE said: Badala ya kuja siyo niachane tu na Mpumbavu Wewe? Click to expand... 😅 Vipi Kramo anaendeleaje?
Mgagaa na Upwa JF-Expert Member Joined Sep 30, 2013 Posts 13,481 Reaction score 28,116 Aug 26, 2023 #43 Kalpana said: Hahahaaa mwaka huu tutawaloga mpk mtembee uchi uwanjani... Click to expand... Uchawi jadi yenu ndio maana hadi wachezaji wenu wanarogana
Kalpana said: Hahahaaa mwaka huu tutawaloga mpk mtembee uchi uwanjani... Click to expand... Uchawi jadi yenu ndio maana hadi wachezaji wenu wanarogana
Hazard CFC JF-Expert Member Joined Apr 7, 2015 Posts 16,627 Reaction score 38,689 Aug 26, 2023 #44 Tatizo la azam liaanzia kwa popat
Frank Wanjiru JF-Expert Member Joined Apr 12, 2012 Posts 22,719 Reaction score 40,739 Aug 26, 2023 #45 Hazard CFC said: Tatizo la azam liaanzia kwa popat Click to expand... Nashangaa sana huyu mtu hawamtoi miaka nenda rudi timu haina mafanikio kabisa.
Hazard CFC said: Tatizo la azam liaanzia kwa popat Click to expand... Nashangaa sana huyu mtu hawamtoi miaka nenda rudi timu haina mafanikio kabisa.
one wisow JF-Expert Member Joined Sep 9, 2019 Posts 1,303 Reaction score 1,901 Aug 26, 2023 #46 zombiiie said: yanga anajua sana. yanga anafanya mpira kuonekana rahisi na ni uchawi Yanga kiukweli anajua sana. Click to expand... Yanga anajua akikutana na timu zaifu. Akijutana na timu bora anapata aibu ya karne. Ngoja timu zaifu zitoke aje Akutane na zile timu kubwa Africa utakuja kusema hapa kama anajua au anaungua na jua tu pale jangwani.
zombiiie said: yanga anajua sana. yanga anafanya mpira kuonekana rahisi na ni uchawi Yanga kiukweli anajua sana. Click to expand... Yanga anajua akikutana na timu zaifu. Akijutana na timu bora anapata aibu ya karne. Ngoja timu zaifu zitoke aje Akutane na zile timu kubwa Africa utakuja kusema hapa kama anajua au anaungua na jua tu pale jangwani.