Azam msione aibu kufukuza benchi la ufundi, timu haichezi vizuri

Azam msione aibu kufukuza benchi la ufundi, timu haichezi vizuri

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Usajili ni mkubwa lakini timu haiko vizuri kusema ukweli. Hata nafasi hii ya kucheza CAF championship ilitokana na TFF kuruhusu Tabora united yenye wachezaji 8 uwanjani kucheza na Azam na kujipatia pts 3 na magoli meeengiiii yaliyosababisha kuishinda Simba kwa magoli kwenye msimamo wa ligi.

Azam ilifungwa na wydad goli nyingi, ikaifunga Lyon sports kwa shida kagoli kamoja, ikafungwa na Yanga kwa goli nyingi, ikaifunga coastal kwa shida na kuifunga APR kagoli ka kubahatisha. Benchi la ufundi hili halina uwezo mkubwa bhana.

Fukuzeni muanze upya.
 
Usajili ni mkubwa lakini timu haiko vizuri kusema ukweli. Hata nafasi hii ya kucheza CAF championship ilitokana na TFF kuruhusu Tabora united yenye wachezaji 8 uwanjani kucheza na Azam na kujipatia pts 3 na magoli meeengiiii yaliyosababisha kuishinda Simba kwa magoli kwenye msimamo wa ligi.

Azam ilifungwa na wydad goli nyingi, ikaifunga Lyon sports kwa shida kagoli kamoja, ikafungwa na Yanga kwa goli nyingi, ikaifunga coastal kwa shida na kuifunga APR kagoli ka kubahatisha. Benchi la ufundi hili halina uwezo mkubwa bhana.

Fukuzeni muanze upya.
…ni kwasababu wana mkwanja mrefu na wa uhakika, otherwise Azam ni timu ya mashindano ya Ramadhani Cup.
 
Azam ni timu yenye wachezaji bora yenye mtizamo wa kitoto..APR Akicheza kwa nidhamu anamtoa.

Na ikitokea bahati mbaya akapita Pyramid atamdhalilisha sana.
Azam wanaiga uswahili wa Simba na Yanga ukimsikiliza Hashim Ibwe anaacheza mpira wa mdomoni uwanjani hamna kitu.
 
Coach Dabo hana mbinu
Ngoja ligi ianze acheze na Singida au coast
Wamekupa wachezaji wa maana anashindwa kuwatumia
Hayo ndiyo maneno anauwezo mdogo sana,haendani na wachezaji alionao pale kikosini.
 
Hayo ndiyo maneno anauwezo mdogo sana,haendani na wachezaji alionao pale kikosini.
Hajui kupanga beki, Bangala hana kasi anapigiwa counter attack kila game ila hambadilishi,
Sidibe beki mzuri akipanda juu hao mabeki wa kati hawawezi kuziba upande wa juu.

Asimwamini sana fei hapo anaweza kucheza mwingine
Huyo fei Taifa stars yetu dhaifu huyo fei anaanzia benchi kwasababu hana ubunifu wa kucheza na striker ni mbinafsi mno, anamchezesha sababu ya presha kwasababu akitoka Yanga
 
Nashukuru kwamba tunaoliona hilo ni wengi. Azam hawana kocha pale. Kwa kile kikosi msimu huu anastahili achukue ubingwa. Azam ana team nzuri sana msimu huu
 
Back
Top Bottom