kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Usajili ni mkubwa lakini timu haiko vizuri kusema ukweli. Hata nafasi hii ya kucheza CAF championship ilitokana na TFF kuruhusu Tabora united yenye wachezaji 8 uwanjani kucheza na Azam na kujipatia pts 3 na magoli meeengiiii yaliyosababisha kuishinda Simba kwa magoli kwenye msimamo wa ligi.
Azam ilifungwa na wydad goli nyingi, ikaifunga Lyon sports kwa shida kagoli kamoja, ikafungwa na Yanga kwa goli nyingi, ikaifunga coastal kwa shida na kuifunga APR kagoli ka kubahatisha. Benchi la ufundi hili halina uwezo mkubwa bhana.
Fukuzeni muanze upya.
Azam ilifungwa na wydad goli nyingi, ikaifunga Lyon sports kwa shida kagoli kamoja, ikafungwa na Yanga kwa goli nyingi, ikaifunga coastal kwa shida na kuifunga APR kagoli ka kubahatisha. Benchi la ufundi hili halina uwezo mkubwa bhana.
Fukuzeni muanze upya.