Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Mkuu unataka kuniambia kuwa wote waliopita azam hawana CV kubwa? Mbona Nabi alifanya makubwa akiwa na CV ndogo? Na unakumbuka lile kundi la wachezaji wakina Manula,boko,nyoni nk waliokaachwa halafu baadae wakawa tishio sana wakiwa na simba? Vipi kuhusu Mudathir nae?Azam hawajawahi kuleta mwenye CV kubwa kwenye mashindano ya Caf....huyu mocha wa Apr ana uzoefu na mashindano kafundisha timu za Al