KWa Bangala sawa,ila kwa Fei umeongea kama shabiki wa Yanga mwenye chuki na Feitoto.Hajui kupanga beki, Bangala hana kasi anapigiwa counter attack kila game ila hambadilishi,
Sidibe beki mzuri akipanda juu hao mabeki wa kati hawawezi kuziba upande wa juu.
Asimwamini sana fei hapo anaweza kucheza mwingine
Huyo fei Taifa stars yetu dhaifu huyo fei anaanzia benchi kwasababu hana ubunifu wa kucheza na striker ni mbinafsi mno, anamchezesha sababu ya presha kwasababu akitoka Yanga
Hata ukimuangalia FEI Toto hajaongeza kiwango chake kutoka kile alichotokanacho Yanga. Anatumia jitihada binafsi kufanyakazi ambayo ilipaswa kufanywa na washambuliaji.Coach Dabo hana mbinu
Ngoja ligi ianze acheze na Singida au coast
Wamekupa wachezaji wa maana anashindwa kuwatumia
Mkuu mchelea mwana kulia hulia yeye, ngojangoja huumiza matumbo, ajizi ni nyumba ya njaa, chelewachelewa utamkuta mwana si wako, udongo upate ungali maji, samaki mkunje angali mbichi, ukicheka na nyani, mwenye aibu hazai. Wahenga waliona mbali wakaja na misemo hii. Chukua hatua leo kabla hujachelewa.Ligi bado mbichi mkuu
😁😁😁 Haohao walisema Mvumilivu hula mbivu, Penye nia pana njia .Mkuu mchelea mwana kulia hulia yeye, ngojangoja huumiza matumbo, ajizi ni nyumba ya njaa, chelewachelewa utamkuta mwana si wako, udongo upate ungali maji, samaki mkunje angali mbichi, ukicheka na nyani, mwenye aibu hazai. Wahenga waliona mbali wakaja na misemo hii. Chukua hatua leo kabla hujachelewa.
Inategemea unavumilia nini, unamvumilia nani, na unavumilia ukiwa wapi. Ukiona watu wameshaanza kukuvua suruali kimbia hakuna mbivu hapo zinazokuja. Dabo kaja siku nyingi na alikutana na uwekezaji mkumbwa. Kapewa Kila alichohitaji kwa maelekezo yake yeye. Kasema anataka aletewe Fei Toto kwa gharama yoyote Ile akaletewa. Lakini nakwambia kama isingekuwa mechi ya Tabora united kucheza pungufu (8) Leo hii wangekuwa wanashiriki CAF confederation cup. Kikosini walichonacho msimu huu sio cha kufungwa goli 4-1 na Yanga, 4 na wydad, kufunga goli 1 na Lyon na APR za Rwanda. Hawashtuki TU bado wanasubiri mbivu?😁😁😁 Haohao walisema Mvumilivu hula mbivu, Penye nia pana njia .
😁😁😁 Noma mkuu ..Inategemea unavumilia nini, unamvumilia nani, na unavumilia ukiwa wapi. Ukiona watu wameshaanza kukuvua suruali kimbia hakuna mbivu hapo zinazokuja. Dabo kaja siku nyingi na alikutana na uwekezaji mkumbwa. Kapewa Kila alichohitaji kwa maelekezo yake yeye. Kasema anataka aletewe Fei Toto kwa gharama yoyote Ile akaletewa. Lakini nakwambia kama isingekuwa mechi ya Tabora united kucheza pungufu (8) Leo hii wangekuwa wanashiriki CAF confederation cup. Kikosini walichonacho msimu huu sio cha kufungwa goli 4-1 na Yanga, 4 na wydad, kufunga goli 1 na Lyon na APR za Rwanda. Hawashtuki TU bado wanasubiri mbivu?
Akaminko ni wa kumkanya anaumiza sana wachezaji hata Skudu Makudubela alimkalisha nje, huyu jamaa hafai kucheza ligi yetu ni rafu mwanzo mwisho. Namchukia sana binafsi.Timu inabebwa na akamiko kucheza rafu na kuumiza wengine, Fei Toto na kipre kwa juhudi zao binafsi.
Kocha mzuri kumbe ni yule anaye watengeneza wachezaji huyu wa Azam fc nadhani yeye anafuata mfumo tu bila kuboresha ujuzi wa mtu mmoja mmoja, (individual skills development)Azam ilipokuwa inafukuza makocha nilitamani wamchukue uchebe aliyeijenga Simba ila hawakumuona leo yupo Singida bstars.......unaleta wachezaji unaowasifu ni bora na hawachezi kocha anauwezo mdogo sana wa kufundisha kabumbu.
Muombe radhi feiHajui kupanga beki, Bangala hana kasi anapigiwa counter attack kila game ila hambadilishi,
Sidibe beki mzuri akipanda juu hao mabeki wa kati hawawezi kuziba upande wa juu.
Asimwamini sana fei hapo anaweza kucheza mwingine
Huyo fei Taifa stars yetu dhaifu huyo fei anaanzia benchi kwasababu hana ubunifu wa kucheza na striker ni mbinafsi mno, anamchezesha sababu ya presha kwasababu akitoka Yanga
Walipomchukuwa Fei kihuni Walisahau kuwa hakuna mchezaji hapa nchini na Africa mashariki na kati ambae hapendi kucheza Yanga na Simba.Akaminko ni wa kumkanya anaumiza sana wachezaji hata Skudu Makudubela alimkalisha nje, huyu jamaa hafai kucheza ligi yetu ni rafu mwanzo mwisho. Namchukia sana binafsi.
Tukirudi kwenye mada, Azam ni timu bora ila inahitaji haraka mbadala wa Dube, Azam hawana tena goal poacher baada ya Dube kusepa na waliyataka wenyewe kwa kumuiba Feisal wakapewa za uso. Bila kupata namba tisa bora kama Dube Azam hawatoboi ligi zote.
Huu ndo ukweli, uwezo wa Dabo na benchi lake umefika kikomo, hana maajabu atayoweza kufanya.Usajili ni mkubwa lakini timu haiko vizuri kusema ukweli. Hata nafasi hii ya kucheza CAF championship ilitokana na TFF kuruhusu Tabora united yenye wachezaji 8 uwanjani kucheza na Azam na kujipatia pts 3 na magoli meeengiiii yaliyosababisha kuishinda Simba kwa magoli kwenye msimamo wa ligi.
Azam ilifungwa na wydad goli nyingi, ikaifunga Lyon sports kwa shida kagoli kamoja, ikafungwa na Yanga kwa goli nyingi, ikaifunga coastal kwa shida na kuifunga APR kagoli ka kubahatisha. Benchi la ufundi hili halina uwezo mkubwa bhana.
Fukuzeni muanze upya.
Basi we ndo umetuletea matatizo Simba, unaonaje uende Yanga kimkakati ukawatie nuksi?Nikienda simba ni wanfungwa nikienda azam wanafungwa shida nini?? Mie siwapendi yanga hata wafungeje
Haya siendi nasipo azam hata nipo simba queensBasi we ndo umetuletea matatizo Simba, unaonaje uende Yanga kimkakati ukawatie nuksi?
Una kanyota cha kudangaNikienda simba ni wanfungwa nikienda azam wanafungwa shida nini?? Mie siwapendi yanga hata wafungeje
Hata weweUna kanyota cha kudanga
Azam inaenda Rwanda mechi ya marudio wakiwa roho juu. Mechi ya nyumbani kwenye uwanja wako mwenyewe unashindwa kupata ushindi mnono. Angekuwa mm ningemfukuza kocha hapohapo bila kupepesa macho.Kocha mzuri kumbe ni yule anaye watengeza wachezaji huyu wa Azam fc nadhani yeye anafuata mfumo tu bila kuboresha ujuzi wa mtu mmoja mmoja, (individual skills development)
Wakifungwa mafuvu yataamsha bongo lala, binadamu akipata changamoto huamsha ubongoAzam inaenda Rwanda mechi ya marudio wakiwa roho juu. Mechi ya nyumbani kwenye uwanja wako mwenyewe unashindwa kupata ushindi mnono. Angekuwa mm ningemfukuza kocha hapohapo bila kupepesa macho.