Azam msione aibu kufukuza benchi la ufundi, timu haichezi vizuri

Wanalia hela za bure mzee Bakhresa.
Uliona mbali.
 
Mzee una jicho sana la mpira fei huwez kumuwekea namba 10 wala namba nane hata sita kwenye kukaba sio mzuri kijana anajina kubwa lakn haliendani na uwezo wake watu wengi hawajui kuangalia mpira anachojua kijan ni kujiposition ili ashinde ndo magori mengi aliyo funga msimu ule ila kuisaidia tim kutafuta magori kama kiungo hawez zaidi na zaidi atatembea na mpirra katika maeneo yasio na faida
 
Ligi ndio inaanza, wafukuze benchi zima la ufundi halafu wafundishwe na nani?

Azam wako vizuri, tuwape muda tunaweza kuona mazuri zaidi.
Tayari kashafukuzwa, tunaongea kwa facts. Ufundi wa Bado ndio umeishia pale, hawezi kufundisha bali anataka wachezaji wanaojifundisha wenyewe au waje wakiwa wameshafundishwa huko watokako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…