Azam Mungu akupe nini na hapa napo umeshindwa?

Action and Reaction

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2021
Posts
1,438
Reaction score
1,496
Kweli Azam fc kama jina lake lilivyo limekaa kiurojourojo nahisi wachezaji wake hula iscream tyu, Inasikitisha hata kwa kikosi hiki cha Yanga kibovu umeshindwa kutoa hata sare...
Azam wewe utaweza kucheza federation? Round ya kwanza tyu ushatolewa.... dadeki zako
 
Hiki ni kikosi kibovu kwa Yanga sawa,,, naomba uniwekee kikosi kizuri Cha Yanga na hicho kizuri Cha Azam..
Kama wachezaji hawahawa wa Yanga ndio wanaocheza siku zote na Timu haijawahi kufungwa Hadi roundi hii basi wewe utakuwa ni Tahira, mpumbavu, hujielewi tena na inawezekana na ukoo wako wote ukawa na sifa hizi
 
Unaikumbuka mechi ya Namungo ? Mechi ile Yanga alizidiwa na kama si umakini mbovu wa washambuliaji wa Namungo basi Yanga angepoteza japo alipewa penati pia timu kama Azam inavyocheza inatia huruma tu tuwe wakweli hakuna timu ya ushindani kwa Simba na Yanga pale
 
Tyu ndiyo nini Tena?
 
Kwa mwaka huu Labda useme hakuna Timu ya ushindani kwa Yanga Ila Simba hii.. Timu imekung'utwa mara kibao ndani na nje ya Tanzania utaisifiaje ety Haina upinzani Hali ya kuwa inagongwa Kila kukicha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…