Action and Reaction
JF-Expert Member
- Oct 16, 2021
- 1,438
- 1,496
Kweli Azam fc kama jina lake lilivyo limekaa kiurojourojo nahisi wachezaji wake hula iscream tyu, Inasikitisha hata kwa kikosi hiki cha Yanga kibovu umeshindwa kutoa hata sare...
Azam wewe utaweza kucheza federation? Round ya kwanza tyu ushatolewa.... dadeki zako
Azam wewe utaweza kucheza federation? Round ya kwanza tyu ushatolewa.... dadeki zako