Hiki kikosi cha Yanga kingecheza na Namungo... Muhimbili leo ingekuwa bizeKwa mwaka huu Labda useme hakuna Timu ya ushindani kwa Yanga Ila Simba hii.. Timu imekung'utwa mara kibao ndani na nje ya Tanzania utaisifiaje ety Haina upinzani Hali ya kuwa inagongwa Kila kukicha
Dube kawa Debe tupuNilikuwa nasikiaga Dube.....Dube ila jana ndio nkaona Hanna kitu
Kwahiyo Swaumu ilikazaTatizo wanaendekeza Udini sanaaaa.
mbona Namungo na Geita G wanacheza bila mashabiki na wanakiwasha!Azam ina kila kitu ilahaina amsha amsha na purukushani za hasira za mashabiki lia lia
usimwamini muuza chapati na unga ulivyopanda bei hahahaassswapuuuuzi sana
usharudi toka chooni?Hiki ni kikosi kibovu kwa Yanga sawa,,, naomba uniwekee kikosi kizuri Cha Yanga na hicho kizuri Cha Azam..
Kama wachezaji hawahawa wa Yanga ndio wanaocheza siku zote na Timu haijawahi kufungwa Hadi roundi hii basi wewe utakuwa ni Tahira, mpumbavu, hujielewi tena na inawezekana na ukoo wako wote ukawa na sifa hizi
mbona Namungo na Geita G wanacheza bila mashabiki na wanakiwasha!
kwahiyo mashabki wa Azam ni wakujoin joinNamungo na geita wana mashabiki halisi wa eneo walilotokea chunguza utajua
mchezaji wa azam alkuwa na spedi mguuniKuna mchezaji wa Azam jana kamsukuma kabisa refa kidevu chake halafu anacheka kizembe tuu wacha wafungwe hawana nia ya kuchukua kombe walau mwaka mmoja. Toka aondoke huko Bocco timu hainaga kitu
Ila azam maji tyu ndo hamjapandisha bei ila Chapati mtaani adimKweli Azam fc kama jina lake lilivyo limekaa kiurojourojo nahisi wachezaji wake hula iscream tyu, Inasikitisha hata kwa kikosi hiki cha Yanga kibovu umeshindwa kutoa hata sare...
Azam wewe utaweza kucheza federation? Round ya kwanza tyu ushatolewa.... dadeki zako