Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeweka filimbi weka basi mdomo nikuingizie kifilimbi upulize.Anaweka vitu laini lain, sasa ban inauchungu gani? Aweke hicho kifilimbi. 😀
Dogo jishike vizuri. Sisi wakongwe .
Dogo jishike vizuri. Sisi wakongweJamani mods fanyeni kazi yenu
Mod Kuna mpiga kelele huku!Hawa jamaa tunawagonga. Miaka kadhaa mfululizo wamekuwa mdebwedo sana kwetu. Tunawajua na wanatujua. TUNAJUANA. hawana sababu ya kutunyima ubingwa. Niaminini mimi.
Watawachezea hao hao mikia. Ila sisi kwa sisi Azam watapokea kichapo tu.
Tunajua tulifanyalo. Wakifanikiwa hata draw leo nipigwe ban ya siku 3
Mpaka hapa, unapendelea kuwa "banned" au uwe "burned"?Hawa jamaa tunawagonga. Miaka kadhaa mfululizo wamekuwa mdebwedo sana kwetu. Tunawajua na wanatujua. TUNAJUANA. hawana sababu ya kutunyima ubingwa. Niaminini mimi.
Watawachezea hao hao mikia. Ila sisi kwa sisi Azam watapokea kichapo tu.
Tunajua tulifanyalo. Wakifanikiwa hata draw leo nipigwe ban ya siku 3.
upigwe ban na nani? Jipige wewe, timu yako imechezea kichapo na kudondosha pointiHawa jamaa tunawagonga. Miaka kadhaa mfululizo wamekuwa mdebwedo sana kwetu. Tunawajua na wanatujua. TUNAJUANA. hawana sababu ya kutunyima ubingwa. Niaminini mimi.
Watawachezea hao hao mikia. Ila sisi kwa sisi Azam watapokea kichapo tu.
Tunajua tulifanyalo. Wakifanikiwa hata draw leo nipigwe ban ya siku 3.
Both.Mpaka hapa, unapendelea kuwa "banned" au uwe "burned"?
Bado tunaongoza na Ubingwa tutachukua tena.upigwe ban na nani? Jipige wewe, timu yako imechezea kichapo na kudondosha pointi
Jamii forums iweke utaratibu wa kutimiza nadhiri za wanachama wake. Tafadhali moderators his wish should be grantedWakifanikiwa hata draw leo nipigwe ban ya siku 3
Chunga sana.Hapo ina maana utaunguzwa mdomo huku wanatwanga huo mbichwa wako na hautatakiwa kulia. 🤣🤣🤣🤣🤣Both.
Hata mgambo hutangulizwa mbele wawapo vitani.Bado tunaongoza na Ubingwa tutachukua tena.
Hizi ahadi za kingese kuna siku zitamgharimu mtu.Hawa jamaa tunawagonga. Miaka kadhaa mfululizo wamekuwa mdebwedo sana kwetu. Tunawajua na wanatujua. TUNAJUANA. hawana sababu ya kutunyima ubingwa. Niaminini mimi.
Watawachezea hao hao mikia. Ila sisi kwa sisi Azam watapokea kichapo tu.
Tunajua tulifanyalo. Wakifanikiwa hata draw leo nipigwe ban ya siku 3.
Watu mnapenda upuuzi nyie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii nzuri aweke rehani hilo jicho watu wapite nalo kama radi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Azam kila akituma hela wanakula nauli
Leo kamdanganya aanze yeye [emoji23][emoji23][emoji23]
Amenaswa ndani kwa watu wenye nyumba wamemeza funguo