Azam siyo timu ya kubeza, Kocha Mgunda asiwe mbuzi wa kafara

Haswaa. Ule ukabaji ni wa viwango. Yaani walitengeneza defense kama tatu ivi wakiwa wanazuia, pass zinablokiwa mapema, na zikipenya defense ya pili inabloku haraka hata kwa rafu mbaya.

Wakipata boli wanatawanyika haraka sana kuelekea kwa kolo huku wakiwapima umri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…