Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Wafungwe tuu hamna namnaWanakaribia Kufungwa Lingine.....!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafungwe tuu hamna namnaWanakaribia Kufungwa Lingine.....!
Wanalinda kitu gani sasa. Akili au matope?Duh....Timu mzima Kosto ipo nyuma..
Natamani kocha amejaribu kucheza defenceKibu anapoteza 'Pasi Sana...anafaa ajengewe confidence
Confidence kama huna uwezo itasaidia nini. Mashabiki wana wajibu wa kumzomea mpaka aachwe kupangwa.Kibu anapoteza 'Pasi Sana...anafaa ajengewe confidence
Kuna watu wanamtumia kama karata yao kipindi hiki cha uchaguzi.Manzoki kaja kucheki game tu au Kuna mengine?
Kama ni hivyo basi huyo kiongozi ni mtu wa hovyo.Kuna watu wanamtumia kama karata yao kipindi hiki cha uchaguzi.
Acha kumfananisha baleke na izo takatakaBaleke ni Yikpe mpya kwenye ligi yetu
Yaan mganga wake ana nguvu sanaMmemuona huyu kibu?
Kwa Kibu nimenyoosha mikonoConfidence kama huna uwezo itasaidia nini. Mashabiki wana wajibu wa kumzomea mpaka aachwe kupangwa.
Nguvu ya kumtaka Chama itumike kumkataa Kibu