Azam tv hamuwatendei haki watazamaji wenu

Azam tv hamuwatendei haki watazamaji wenu

Huu uchambuzi unakusaidia nini? Mnahangauka sana, mwakani tunawasubiria timu ikiwa uwanjani mlete huu uchambuzi.
Ukiangalia wachambuzi wa super sport huwa wanakuwa wapo neutral kwanzia anayefanya marejesho ya video hadi wachambuzi na kuchambua kila aina ya tukio kwa kufuata sheria za soka kwa marejeo ya video juu ya tukio husika. Nimeshangazwa sana na tukio la leo lililoleta utata na ugomvi, kutojadiliwa kabisa eti kisa fundi mitambo kashindwa kufanya marejeo ya video kashindwa kuweka hilo tukio la goli walilofunga Berkane.


Mtangazaji kamuuliza yule dada mchamguzi kuwa goli walilofunga Berkane ni halali au sio halali, yule dada alisema ni goli halali kwavile Kanoute alivunja offside, lakini akaomba apate tena marejeo iili apate kujiridhisha zaidi ila hakuwekewa marejeo ya video. Mchamguzi mwingine naye kaulizwa, akashindwa kutoa majibu kabisa naye akaomba marejeo ya video lakini cha ajabu aliyeko studio kashindwa kuonesha tena marejeo ili wachambuzi waseme kilichoonekana kama ilikuwa ni clear offside au lah Mwisho wa siku waka skip hilo tukio wakajadili ishu zingine kabisa cha ajabu kwenye matukio mengine fundi mitambo anaonesha marejeo ya video.

Watu wengi wanategemea kupata majibu ya maswali kupitia hawa wachambuzi ambao huwa wanaongea kwa kutafsiri tukio vs sheria ya soka. Hata watazamaji pia wapo wenye uelewa wa sheria ila kitu pekee ambacho huwa tunatamani kukiona ni ni replay ya tukio husika na ndio maana warusha matangazo ya mpira wengine matukio yote yenye utata wanaonesha kila kitu kwa ufasaha.
 
Huu uchambuzi unakusaidia nini? Mnahangauka sana, mwakani tunawasubiria timu ikiwa uwanjani mlete huu uchambuzi.
Kwavile huwa unaangalia Azam tv pekee huwezi elewa umuhimu wa uchambuzi ila wale wanaoangalia mpira kupitia super sports, sky sports, bein sports, n.k wanajua ni namna gani uchambuzi unaleta faida kwenye mchezo wa mpira wa miguu
 
Nimeshangazwa na Huyo bint sijui mama kusema si offside ni goli halali. Kama hawezi chambua anaushabiki Bora anyamaze tu.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Katumia picha aliyo nayo kichwani mwake na ndio maana akaomba marejeo ya vudeo ili apate wasaa wa kuona tukio ili ajiridhishe juu ya muono uliokwepo kichwani mwake
 
Ukiangalia wachambuzi wa super sport huwa wanakuwa wapo neutral kwanzia anayefanya marejesho ya video hadi wachambuzi na kuchambua kila aina ya tukio kwa kufuata sheria za soka kwa marejeo ya video juu ya tukio husika. Nimeshangazwa sana na tukio la leo lililoleta utata na ugomvi, kutojadiliwa kabisa eti kisa fundi mitambo kashindwa kufanya marejeo ya video kashindwa kuweka hilo tukio la goli walilofunga Berkane.


Mtangazaji kamuuliza yule dada mchamguzi kuwa goli walilofunga Berkane ni halali au sio halali, yule dada alisema ni goli halali kwavile Kanoute alivunja offside, lakini akaomba apate tena marejeo iili apate kujiridhisha zaidi ila hakuwekewa marejeo ya video. Mchamguzi mwingine naye kaulizwa, akashindwa kutoa majibu kabisa naye akaomba marejeo ya video lakini cha ajabu aliyeko studio kashindwa kuonesha tena marejeo ili wachambuzi waseme kilichoonekana kama ilikuwa ni clear offside au lah Mwisho wa siku waka skip hilo tukio wakajadili ishu zingine kabisa cha ajabu kwenye matukio mengine fundi mitambo anaonesha marejeo ya video.

Watu wengi wanategemea kupata majibu ya maswali kupitia hawa wachambuzi ambao huwa wanaongea kwa kutafsiri tukio vs sheria ya soka. Hata watazamaji pia wapo wenye uelewa wa sheria ila kitu pekee ambacho huwa tunatamani kukiona ni ni replay ya tukio husika na ndio maana warusha matangazo ya mpira wengine matukio yote yenye utata wanaonesha kila kitu kwa ufasaha.
Sasa hao wachambaji wana impact gani kwenye mpira? Kwanza hawajulikani popote zaidi ya kuwapa faraja utopolo tu.
Kwa taarifa yako Mechi za Simba Original live airing inafanywa kwa lugha ha kiingereza. Hao wachambuzi na watangazaji wa kiswahili wako studio wanaangalia kwenye tv kama wewe tu.
 
Ukiangalia wachambuzi wa super sport huwa wanakuwa wapo neutral kwanzia anayefanya marejesho ya video hadi wachambuzi na kuchambua kila aina ya tukio kwa kufuata sheria za soka kwa marejeo ya video juu ya tukio husika. Nimeshangazwa sana na tukio la leo lililoleta utata na ugomvi, kutojadiliwa kabisa eti kisa fundi mitambo kashindwa kufanya marejeo ya video kashindwa kuweka hilo tukio la goli walilofunga Berkane.


Mtangazaji kamuuliza yule dada mchamguzi kuwa goli walilofunga Berkane ni halali au sio halali, yule dada alisema ni goli halali kwavile Kanoute alivunja offside, lakini akaomba apate tena marejeo iili apate kujiridhisha zaidi ila hakuwekewa marejeo ya video. Mchamguzi mwingine naye kaulizwa, akashindwa kutoa majibu kabisa naye akaomba marejeo ya video lakini cha ajabu aliyeko studio kashindwa kuonesha tena marejeo ili wachambuzi waseme kilichoonekana kama ilikuwa ni clear offside au lah Mwisho wa siku waka skip hilo tukio wakajadili ishu zingine kabisa cha ajabu kwenye matukio mengine fundi mitambo anaonesha marejeo ya video.

Watu wengi wanategemea kupata majibu ya maswali kupitia hawa wachambuzi ambao huwa wanaongea kwa kutafsiri tukio vs sheria ya soka. Hata watazamaji pia wapo wenye uelewa wa sheria ila kitu pekee ambacho huwa tunatamani kukiona ni ni replay ya tukio husika na ndio maana warusha matangazo ya mpira wengine matukio yote yenye utata wanaonesha kila kitu kwa ufasaha.
Hawa ni wachambuzi wa studio ambao hata kupiga danadana hawajuwi, kwani referee aliamuaje? Kakate rufaa basi CAF kwa niaba ya Berkane.
 
Sasa hao wachambaji wana impact gani kwenye mpira? Kwanza hawajulikani popote zaidi ya kuwapa faraja utopolo tu.
Kwa taarifa yako Mechi za Simba Original live airing inafanywa kwa lugha ha kiingereza. Hao wachambuzi na watangazaji wa kiswahili wako studio wanaangalia kwenye tv kama wewe tu.
Nawewe unajiona umejibu hoja au ni vioja? Kwahiyo wachambuzi wa super sports wanafanya vizuri kwavile wapo uwanjani tofauti na hawa wa Azam tv wanaoangalia mpira kwenye tv kama sisi?

Kwenye mpira wachambuzi wanafanya analysis ya mechi kwanzia kwenye mbinu, ufundi na pia ku clarify matukio yenye utata kwa kuonesha usahihi wa maamuzi ya waamuzi au madhaifu ya waamuzi. Kama ungekuwa ni mtu wa mpira ungeelewa umuhimu wa uchambuzi hasa kwa kuona vile warusha matangazo kama super sports wanavyofanya analysis
 
UTOPOLO ON THE BEAT... kawasindikizeni berkane usiku umeingia
Hahaaaaaaaaaaaaaaaa,wanateseka sana hao ndezi,yaani kara nyingi wanachokiwish hakitokei halqfu mbaya zaidi mpinzani hajawahi kufikisha 30% za umiliki mpira ktk gemu ya jana halafu wanalalamika
 
Back
Top Bottom