Ahmadi Brown
Member
- Feb 11, 2019
- 19
- 19
Innalilah Wainna Ilahi Rajiun
RIP
Pole sana kwa ndugu na jamaa na wana tasnia ya habari kiujumla, huu msiba wakwetu sote umetugusa wengi.
Pia Azam Tv mpo vizuri mmetumia ndege yenu kufata miili ya marehemu.
Najiuliza Maswali Mengi Sijapata Majibu!! Katika ajali wanatajwa staffs tu wa Azam lakin ndani ya gari kulikuwa na madereva wawili.
Azam mmefanya ubaguzi basi hata wangesaidia kuleta miili ya madereva. Mngekuwa mmefanya uungwana.
So Sad[emoji17]
RIP
Pole sana kwa ndugu na jamaa na wana tasnia ya habari kiujumla, huu msiba wakwetu sote umetugusa wengi.
Pia Azam Tv mpo vizuri mmetumia ndege yenu kufata miili ya marehemu.
Najiuliza Maswali Mengi Sijapata Majibu!! Katika ajali wanatajwa staffs tu wa Azam lakin ndani ya gari kulikuwa na madereva wawili.
Azam mmefanya ubaguzi basi hata wangesaidia kuleta miili ya madereva. Mngekuwa mmefanya uungwana.
So Sad[emoji17]