Azam tv kuonyesha Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1) kuanzia kesho

Azam tv kuonyesha Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1) kuanzia kesho

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Baada ya Messi kuhamia PSG inayoshiriki ligi kuu ya ufaransa (Ligue 1) hatimae kituo maarufu cha televisheni hapa nchini cha AzamTv wataanza kurusha mubashara matangazo ya ligi hiyo!

ikumbukwe AzamTv huonyesha pia Bundesliga, NBC Premier League, FA Cup na Carabao cup.

Mashabiki wengi wa soka nchini wangependa kuona siku moja Azam ikirusha ligi pendwa ya EPL lakini kwa mwendo huu sio haba!

Kwahyo kuanzia kesho jiandae kuangalia Ligue 1 ukiwa sebuleni kwako!

C70D5CAB-30C9-4BCE-ACE4-CE55DBE10F17.jpeg
 
Hivi Azam huko Kenya anauza visimbusi kwa hali inayoridhisha??
 
Sasa ninunue Dishi la azam, niliwauliza Dstv kuhusu hii ligi ya ufaransa wakaniambia unaweza kuangalia lakini kwa malipo ya ziada na hii ni kwa wateja wa kifurushi cha compact na kuendelea, Yaani kama unalipa shs 51,000/= ya kifurushi cha compact, utatakiwa uongeze shs 91,000/= ili channel ya Canal ambayo inaonesha ligi hiyo iweze kufunguliwa kwenye dishi la Dstv.
 
Mimi nimeanza kufuatilia ligi za nje ya Tanzania mwaka 2007. Na nilikuwa na mshikaji shabiki kindakindaki wa Chelsea. Nikajikuta na mimi nimeanza kuishabikia Chelsea. Baadaye nikaipenda pia Real Madrid. Hizo ndo timu zangu pendwa nje ya nchi. Lakini pia nazifuatilia kwa ukaribu timu za Liverpool, Manchester City Manchester United na Barcelona.
Kwa hapa Bongo huniambii kitu kuhusu Mnyama anaeogopwa sana mwituni SIMBA. Hii timu nieanza kuifuatilia tangu miaka ya 80 huko nikiwa kijana mdogo. Enzi hizo tukkita TAIFA KUBWA.........
 
Mimi nimeanza kufuatilia ligi za nje ya Tanzania mwaka 2007. Na nilikuwa na mshikaji shabiki kindakindaki wa Chelsea. Nikajikuta na mimi nimeanza kuishabikia Chelsea. Baadaye nikaipenda pia Real Madrid. Hizo ndo timu zangu pendwa nje ya nchi. Lakini pia nazifuatilia kwa ukaribu timu za Liverpool, Manchester City Manchester United na Barcelona.
Kwa hapa Bongo huniambii kitu kuhusu Mnyama anaeogopwa sana mwituni SIMBA. Hii timu nieanza kuifuatilia tangu miaka ya 80 huko nikiwa kijana mdogo. Enzi hizo tukkita TAIFA KUBWA.........
Wewe makolo FC .
 
EPL hawawezi kupewa kirahisi waonyeshe Tz tu...Dstv kashika SSA na hawatoweza kucheza kiboya hapo.
Dstv analipa bilioni 500 kwa mwaka Kuonesha EPL, Hata dstv akiondoka Azam hana Ubavu wa kulipa hio hela.

Labda East Africa tujitenge na tutafute licence yetu wenyewe, ama Azam wajiunge na media Nyengine wagawane maeneo.
 
Ligue 1 ilikuwa inaonyeshwa toka muda mrefu na ESPN issue ilikuwa ili uipate ESPN ni lazima ulipie kifurushi cha juu.

Na kuhusu kuonyesha EPL sidhani kama ni leo au kesho
League 1 ina migogoro sasa hivi na leseni imeuzwa bei ya kutupa, canal kauziwa asilimia 20 ya mechi kwa euro 330M na amazon wameuziwa asilimia 80 kwa euro 275M, Canal wame mind sana, na hilo deal ni dogo sana ndio maana tv ndogo kama Azam zinaweza ku Afford.
 
Mimi nimeanza kufuatilia ligi za nje ya Tanzania mwaka 2007. Na nilikuwa na mshikaji shabiki kindakindaki wa Chelsea. Nikajikuta na mimi nimeanza kuishabikia Chelsea. Baadaye nikaipenda pia Real Madrid. Hizo ndo timu zangu pendwa nje ya nchi. Lakini pia nazifuatilia kwa ukaribu timu za Liverpool, Manchester City Manchester United na Barcelona.
Kwa hapa Bongo huniambii kitu kuhusu Mnyama anaeogopwa sana mwituni SIMBA. Hii timu nieanza kuifuatilia tangu miaka ya 80 huko nikiwa kijana mdogo. Enzi hizo tukkita TAIFA KUBWA.........
We jamaa bhana...una timu kama buku na ushee..
 
League 1 ina migogoro sasa hivi na leseni imeuzwa bei ya kutupa, canal kauziwa asilimia 20 ya mechi kwa euro 330M na amazon wameuziwa asilimia 80 kwa euro 275M, Canal wame mind sana, na hilo deal ni dogo sana ndio maana tv ndogo kama Azam zinaweza ku Afford.
Amazon prime tv 80pc??..hawa jamaa wanakuja kwa kasi huku kwenye football..EPL napo wamechukua asilimia chache..kuna games wanakuwa na exclusivity kwa UK.
 
League 1 ina migogoro sasa hivi na leseni imeuzwa bei ya kutupa, canal kauziwa asilimia 20 ya mechi kwa euro 330M na amazon wameuziwa asilimia 80 kwa euro 275M, Canal wame mind sana, na hilo deal ni dogo sana ndio maana tv ndogo kama Azam zinaweza ku Afford.
Canal si wafaransa wenzao wameshindwa hata kuwapendelea,,daag pesa kitu kingine.
 
Sasa ninunue Dishi la azam, niliwauliza Dstv kuhusu hii ligi ya ufaransa wakaniambia unaweza kuangalia lakini kwa malipo ya ziada na hii ni kwa wateja wa kifurushi cha compact na kuendelea, Yaani kama unalipa shs 51,000/= ya kifurushi cha compact, utatakiwa uongeze shs 91,000/= ili channel ya Canal ambayo inaonesha ligi hiyo iweze kufunguliwa kwenye dishi la Dstv.
Na pia kuna channels za Dstv zipo Canal+ ili kuzipata unatakiwa kulipia ziada ya 40,000 ile ya kifurushi cha mpira cha kawaida.
 
Canal si wafaransa wenzao wameshindwa hata kuwapendelea,,daag pesa kitu kingine.
Ndo hapo walipobugi, huenda mwakani hali ikawa mbaya zaidi, maana Amazon kachukua miaka mingi, huyo atakae renew asilimia 20 atataka na yeye alipe kidogo.
 
Back
Top Bottom