Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nina allergy na rangi za nguo za kijani na njano....... Yaani hizo rangi ukiacha ushabiki wa soka..... yaani zisipendi tu........ Usiniulize sababu tafadhali...Wewe makolo FC .
We jamaa bhana...una timu kama buku na ushee..
Na hizo ligi zenyewe wanachagua mechi ,bundasliga yenyewe wakaonyesha mechi 4 huku wakijisifu wanaonyeshaKwa kuonyesha ligi za kipuuzi jamaa hawajambo
Baada ya Messi kuhamia PSG inayoshiriki ligi kuu ya ufaransa (Ligue 1) hatimae kituo maarufu cha televisheni hapa nchini cha AzamTv wataanza kurusha mubashara matangazo ya ligi hiyo!
Wanaangalia mechi zenye mvutoNa hizo ligi zenyewe wanachagua mechi ,bundasliga yenyewe wakaonyesha mechi 4 huku wakijisifu wanaonyesha
Pengine tutaona goli lake la kwanza ndani ya azamtvtukumbuke tu, tunaelekea mwezi wa nne huu Messi bado ameshindwa kuona nyavu ndani ya Ligue 1
Hamna ligiNi bora tu wangepambana wapate ligi ya Italy
Na gharama zitakuwa zimepanda maradufuSiku wakionyesha Epl na UEFA ndo watapata wateja
Jifunze walau shukrani kwa jambo hata kama dogo!! EPL na Uefa tuendelee kulekule DstvAzam hamna cha kuwapongeza hapo maana wanarukia tu lakini hawaonyeshi mechi zote ,angalia tu bundasliga hawaonyeshi mechi zote
Nasubiri kwa hamu waoneshe ligi ya englandBaada ya Messi kuhamia PSG inayoshiriki ligi kuu ya ufaransa (Ligue 1) hatimae kituo maarufu cha televisheni hapa nchini cha AzamTv wataanza kurusha mubashara matangazo ya ligi hiyo!
ikumbukwe AzamTv huonyesha pia Bundesliga, NBC Premier League, FA Cup na Carabao cup.
Mashabiki wengi wa soka nchini wangependa kuona siku moja Azam ikirusha ligi pendwa ya EPL lakini kwa mwendo huu sio haba!
Kwahyo kuanzia kesho jiandae kuangalia Ligue 1 ukiwa sebuleni kwako!
View attachment 2015384
In HD quality?Zanzibar tuna raha sana kwenye kutazama hizi ligi za ulaya, elfu 10 tu naangalia ligi zote kubwa...Epl, ligue 1, serie A, Laliga, Eredevisie nk
NdioIn HD quality?
Kwa king'amuzi gani mkuu?Zanzibar tuna raha sana kwenye kutazama hizi ligi za ulaya, elfu 10 tu naangalia ligi zote kubwa...Epl, ligue 1, serie A, Laliga, Eredevisie nk
Zctv, Zmux, coconut digital ila ukivuka chumbe havifany Kaz.Kwa king'amuzi gani mkuu?