Azam tv kuonyesha Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1) kuanzia kesho

Azam tv kuonyesha Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1) kuanzia kesho

Azam hamna cha kuwapongeza hapo maana wanarukia tu lakini hawaonyeshi mechi zote ,angalia tu bundasliga hawaonyeshi mechi zote
 
Labda nifafanue kidogo. Hizo timu nilizoandika kuwa nazifuatilia- sio kwamba nazifuatilia kwa maana ya kuzishabikia. Nazifuatilia kwa maana ya kuona hazipati matokeo mazuri kuzidi timu ninazozishabikia za Chelsea na Real Madrid. Nadhani mpaka hapo utakuwa umenipata....
We jamaa bhana...una timu kama buku na ushee..
 
Baada ya Messi kuhamia PSG inayoshiriki ligi kuu ya ufaransa (Ligue 1) hatimae kituo maarufu cha televisheni hapa nchini cha AzamTv wataanza kurusha mubashara matangazo ya ligi hiyo!

tukumbuke tu, tunaelekea mwezi wa nne huu Messi bado ameshindwa kuona nyavu ndani ya Ligue 1
 
Wanakimbilia ulaya wakati bongo tuu bado kuna wapa changamoto kuanzia graphic, marudio ya picha uwanjani, watangazaji ni kama wanaropoka na kutaja majina hovyo hovyo wajifunze.
 
Baada ya Messi kuhamia PSG inayoshiriki ligi kuu ya ufaransa (Ligue 1) hatimae kituo maarufu cha televisheni hapa nchini cha AzamTv wataanza kurusha mubashara matangazo ya ligi hiyo!

ikumbukwe AzamTv huonyesha pia Bundesliga, NBC Premier League, FA Cup na Carabao cup.

Mashabiki wengi wa soka nchini wangependa kuona siku moja Azam ikirusha ligi pendwa ya EPL lakini kwa mwendo huu sio haba!

Kwahyo kuanzia kesho jiandae kuangalia Ligue 1 ukiwa sebuleni kwako!

View attachment 2015384
Nasubiri kwa hamu waoneshe ligi ya england

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Zanzibar tuna raha sana kwenye kutazama hizi ligi za ulaya, elfu 10 tu naangalia ligi zote kubwa...Epl, ligue 1, serie A, Laliga, Eredevisie nk
 
Back
Top Bottom