white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Shame on u!!Hata ulichoandika hukijui,tangu lini hiyo azam Spots2,ukaiona bure?WEwe mjinga kaongee na wajinga wenzie, mtu mpira unaangalia kbanda umiza utaelewa nn? nakupa mfano mmoja mechi ya yanga na mamelod ilionesha channel gan? mechi za fifa na caf ni bure zote ndo maana FTA
sasa mkuu kibali sindio kimetoka hivi punde kwamba azam waonyeshe kwa FTA cha msingi tusubiri octoba hii makundi yanaanza tutajua kama ni kweli tutaona bure kwa tusiolipia kifurushi..sio ww unapinga tu lini ulifungua ikakugomea au unaongelea msimu uliopita wakati kibali azam ndo kapewa hivi punde tu tusubiri tutajua tu ila tunavyowajua azam kwa maslahi ya kibiashara hawawezi kuruhusu bure lazima mlipie azam one HD kama ilivyo siku zote
Lipia wewe, kama umeshindwa uzaaaaCAF wametangaza washindi wa Bid za kuonesha Mechi za Champions League na Kombe la Shirikisho kwa msimu huu. Azam Tv ni Moja ya washindi lakini katika kipengele Cha FTA (Free to Air) Maana yake Mechi za CAF tutaziona kupitia ZBC 2 pekee maana ndio chanel ya Bure hiyo.
Sasa najiuliza mpka Leo Azam Tv wameshindwa Nini kuteka soko la mpira? Wateja tunalipa pesa ndefu lakini wanashindwa vipi kununua haki za Pay TV?
Msimu uliopita Mechi za CAF tuliziona KUPITIA Chanel za Pay ambazo ni Azam Sport's HD zote
ZBC 2 Quality yake ni hafifu mno sio HD ya kuangalia Mechi kubwa kati ya Al Ahly na Yanga Sc
Azam Tv mnazidiwa nini na makampuni mengine? Mna Biashara Tanzania , Uganda, Zimbabwe, Malawi shida NiniView attachment 3111551View attachment 3111552?
Hongereni kwa FTA ila Sasa isifike muda wa Mechi ZBC 2 ikatoka kama hujalipia kifurushi cha mwezi maana hiyo ni chanel ya bure.
Ana roho mbayaChannel sio HD kama unavyosema,alafu bado unataka iwe for pay, sasa hapo hauoni kama wewe ni mbinafsi?.. kidding 😂
Lini Azam Sport 2 ilikuwa FTA?Mechi toka mwaka jana wanaonesha azamsport 2 HD tena bureeee hata kama ujalipia kfurushi, TUWE WATU WA KUFATILIA MAMBO ILI TUSIJAZE SERVER KWA MAMBO YASIOMANA
ntajie mechi za yanga za caf mwaka jana zilizooneshwa ZBC2 kuanzia makundi hadi robo?Shame on u!!Hata ulichoandika hukijui,tangu lini hiyo azam Spots2,ukaiona bure?
Mzee we mtu mzto fanya research kdogo kuanzia msimu jana mechi za caf za simba na yanga zmeoneshwa channel gani kwenye azamtv, na ni bure au unalipia?Lini Azam Sport 2 ilikuwa FTA?
Upo dunia gani ww, vjana watanzania kuropoka mnaongoza kwakwelAzam hata misimu iliyopita mechi za caf anaoneshea ZBC2
ni kweli lakini sio bure bila kulipia kifurushi hiyo ZBC 2 haifunguki ng'oAzam hata misimu iliyopita mechi za caf anaoneshea ZBC2
ni kweli lakini sio bure bila kulipia kifurushi hiyo ZBC 2 haifunguki ng'o
Hiyo channel kabla ujio wa Azam TV ulikuwa inaonyesha mpira free kabisa,baada ya Azam kuja wakaiteka hiyo Channel nakuifanya ni Channel yao,siku hizi match nyingi hiyo channel inaamishwa na kuwekwa kwenye kundi la kulipia.sasa mkuu kibali sindio kimetoka hivi punde kwamba azam waonyeshe kwa FTA cha msingi tusubiri octoba hii makundi yanaanza tutajua kama ni kweli tutaona bure kwa tusiolipia kifurushi..sio ww unapinga tu lini ulifungua ikakugomea au unaongelea msimu uliopita wakati kibali azam ndo kapewa hivi punde tu tusubiri tutajua tu ila tunavyowajua azam kwa maslahi ya kibiashara hawawezi kuruhusu bure lazima mlipie azam one HD kama ilivyo siku zote
Wanabisha kitu kilicho dhahiri,match wanazoachaga free ni zile za timu za Haifa tuu. Azam waimeteka hii channel nakuingiza kwenye Pay TVni kweli lakini sio bure bila kulipia kifurushi hiyo ZBC 2 haifunguki ng'o
Baada ya ujio wa Azam ndio imekuwa hivyo but before tulikuwa tunaangalia matches zote free.Ukiwa zanzibar ndio unaona bure.
Ila ukiwa bara lazima ulipie
Baada ya ujio wa Azam ndio imekuwa hivyo but before tulikuwa tunaangalia matches zote free.
huwa wanaweza ZBC2 ambayo ni ya mafundisho ya kiislam wakiamini watu wakimaliza mpira wataizoea hiyo channel ili wapate mafundisho ya mood. kwa bahati mbaya, kwa hoja za kusikiliza tu hakuna mtu anaweza kusilimu. uislam unajulikana ulivyo, watu wanacheki boli wakimaliza wanachenji fasta. mngelikuwa na matendo mema, ya upendo, yasiyo ya ukatili, watu wangeifuata dini yenu, sio kwa tactics za aina hii. ona mnavyohangaika sasa.CAF wametangaza washindi wa Bid za kuonesha Mechi za Champions League na Kombe la Shirikisho kwa msimu huu. Azam Tv ni Moja ya washindi lakini katika kipengele Cha FTA (Free to Air) Maana yake Mechi za CAF tutaziona kupitia ZBC 2 pekee maana ndio chanel ya Bure hiyo.
Sasa najiuliza mpka Leo Azam Tv wameshindwa Nini kuteka soko la mpira? Wateja tunalipa pesa ndefu lakini wanashindwa vipi kununua haki za Pay TV?
Msimu uliopita Mechi za CAF tuliziona KUPITIA Chanel za Pay ambazo ni Azam Sport's HD zote
ZBC 2 Quality yake ni hafifu mno sio HD ya kuangalia Mechi kubwa kati ya Al Ahly na Yanga Sc
Azam Tv mnazidiwa nini na makampuni mengine? Mna Biashara Tanzania , Uganda, Zimbabwe, Malawi shida
Nini
View attachment 3111551View attachment 3111552?
Hongereni kwa FTA ila Sasa isifike muda wa Mechi ZBC 2 ikatoka kama hujalipia kifurushi cha mwezi maana hiyo ni chanel ya bure.
kusema eti hiyo channel azam wameiteka sio sahihi vp kama hao ZBC2 ambayo ilikuwa inaonekana zanzibar tu ndio wametaka au wana makubaliano na azam kwa lengo la kujitanua waonekane mbali zaidi kupitia azamtv kama ilivyo wasafi tv au ww unatafsiri kwamba channel zote zinazo onekana azamatv ni mali ya azam.?Hiyo channel kabla ujio wa Azam TV ulikuwa inaonyesha mpira free kabisa,baada ya Azam kuja wakaiteka hiyo Channel nakuifanya ni Channel yao,siku hizi match nyingi hiyo channel inaamishwa na kuwekwa kwenye kundi la kulipia.