Azam TV kupewa kuonyesha mashindano ya Club Bingwa Africa na Shirikisho kupitia FTA(ZBC2) je hii channel itakuwa free bila kulipia kwenye decoder zao?

Azam TV kupewa kuonyesha mashindano ya Club Bingwa Africa na Shirikisho kupitia FTA(ZBC2) je hii channel itakuwa free bila kulipia kwenye decoder zao?

sasa mkuu kibali sindio kimetoka hivi punde kwamba azam waonyeshe kwa FTA cha msingi tusubiri octoba hii makundi yanaanza tutajua kama ni kweli tutaona bure kwa tusiolipia kifurushi..sio ww unapinga tu lini ulifungua ikakugomea au unaongelea msimu uliopita wakati kibali azam ndo kapewa hivi punde tu tusubiri tutajua tu ila tunavyowajua azam kwa maslahi ya kibiashara hawawezi kuruhusu bure lazima mlipie azam one HD kama ilivyo siku zote

Azam hata misimu iliyopita mechi za caf anaoneshea ZBC2
 
CAF wametangaza washindi wa Bid za kuonesha Mechi za Champions League na Kombe la Shirikisho kwa msimu huu. Azam Tv ni Moja ya washindi lakini katika kipengele Cha FTA (Free to Air) Maana yake Mechi za CAF tutaziona kupitia ZBC 2 pekee maana ndio chanel ya Bure hiyo.

Sasa najiuliza mpka Leo Azam Tv wameshindwa Nini kuteka soko la mpira? Wateja tunalipa pesa ndefu lakini wanashindwa vipi kununua haki za Pay TV?

Msimu uliopita Mechi za CAF tuliziona KUPITIA Chanel za Pay ambazo ni Azam Sport's HD zote

ZBC 2 Quality yake ni hafifu mno sio HD ya kuangalia Mechi kubwa kati ya Al Ahly na Yanga Sc

Azam Tv mnazidiwa nini na makampuni mengine? Mna Biashara Tanzania , Uganda, Zimbabwe, Malawi shida NiniView attachment 3111551View attachment 3111552?

Hongereni kwa FTA ila Sasa isifike muda wa Mechi ZBC 2 ikatoka kama hujalipia kifurushi cha mwezi maana hiyo ni chanel ya bure.
Lipia wewe, kama umeshindwa uzaaaa
 
Mechi zitaoneshwa kupitia ZBC2 na UTV tena kwa muonekano ang'avu kwa watumiaji wa visumbuzi vya dish
 
sasa mkuu kibali sindio kimetoka hivi punde kwamba azam waonyeshe kwa FTA cha msingi tusubiri octoba hii makundi yanaanza tutajua kama ni kweli tutaona bure kwa tusiolipia kifurushi..sio ww unapinga tu lini ulifungua ikakugomea au unaongelea msimu uliopita wakati kibali azam ndo kapewa hivi punde tu tusubiri tutajua tu ila tunavyowajua azam kwa maslahi ya kibiashara hawawezi kuruhusu bure lazima mlipie azam one HD kama ilivyo siku zote
Hiyo channel kabla ujio wa Azam TV ulikuwa inaonyesha mpira free kabisa,baada ya Azam kuja wakaiteka hiyo Channel nakuifanya ni Channel yao,siku hizi match nyingi hiyo channel inaamishwa na kuwekwa kwenye kundi la kulipia.
 
ni kweli lakini sio bure bila kulipia kifurushi hiyo ZBC 2 haifunguki ng'o
Wanabisha kitu kilicho dhahiri,match wanazoachaga free ni zile za timu za Haifa tuu. Azam waimeteka hii channel nakuingiza kwenye Pay TV
 
Baada ya ujio wa Azam ndio imekuwa hivyo but before tulikuwa tunaangalia matches zote free.

Media ya ZBC sio mali ya azam inamilikiwa na Serikali ya zanzibar

ZBC kwa kirefu ni Zanzibar Broadcasting Corporation.

Ni sawa sawa na TBC kwa tanzania bara.

Caf huwa wanawapa TV za taifa haki za kuonesha mechi bure
 
CAF wametangaza washindi wa Bid za kuonesha Mechi za Champions League na Kombe la Shirikisho kwa msimu huu. Azam Tv ni Moja ya washindi lakini katika kipengele Cha FTA (Free to Air) Maana yake Mechi za CAF tutaziona kupitia ZBC 2 pekee maana ndio chanel ya Bure hiyo.

Sasa najiuliza mpka Leo Azam Tv wameshindwa Nini kuteka soko la mpira? Wateja tunalipa pesa ndefu lakini wanashindwa vipi kununua haki za Pay TV?

Msimu uliopita Mechi za CAF tuliziona KUPITIA Chanel za Pay ambazo ni Azam Sport's HD zote

ZBC 2 Quality yake ni hafifu mno sio HD ya kuangalia Mechi kubwa kati ya Al Ahly na Yanga Sc

Azam Tv mnazidiwa nini na makampuni mengine? Mna Biashara Tanzania , Uganda, Zimbabwe, Malawi shida

Nini

View attachment 3111551View attachment 3111552?

Hongereni kwa FTA ila Sasa isifike muda wa Mechi ZBC 2 ikatoka kama hujalipia kifurushi cha mwezi maana hiyo ni chanel ya bure.
huwa wanaweza ZBC2 ambayo ni ya mafundisho ya kiislam wakiamini watu wakimaliza mpira wataizoea hiyo channel ili wapate mafundisho ya mood. kwa bahati mbaya, kwa hoja za kusikiliza tu hakuna mtu anaweza kusilimu. uislam unajulikana ulivyo, watu wanacheki boli wakimaliza wanachenji fasta. mngelikuwa na matendo mema, ya upendo, yasiyo ya ukatili, watu wangeifuata dini yenu, sio kwa tactics za aina hii. ona mnavyohangaika sasa.
 
Hiyo channel kabla ujio wa Azam TV ulikuwa inaonyesha mpira free kabisa,baada ya Azam kuja wakaiteka hiyo Channel nakuifanya ni Channel yao,siku hizi match nyingi hiyo channel inaamishwa na kuwekwa kwenye kundi la kulipia.
kusema eti hiyo channel azam wameiteka sio sahihi vp kama hao ZBC2 ambayo ilikuwa inaonekana zanzibar tu ndio wametaka au wana makubaliano na azam kwa lengo la kujitanua waonekane mbali zaidi kupitia azamtv kama ilivyo wasafi tv au ww unatafsiri kwamba channel zote zinazo onekana azamatv ni mali ya azam.?
 
Back
Top Bottom