Kama unapata channel ya Rwanda na KBC ya Kenya huwa wanaonyeshaAFCON ITAONESHWA DSTV TU BORA ULIPIEE
Afcon ina mvuto? Afcon ilikuwa zamani sio sasaKuna tetesi kuwa AzamTv hawana haki ya kuonyesha michuano ya Afcon 2022 itakyofanyika mapema mwakani!
Kama ni kweli basi, AzamTv watakuwa wamefeli pakubwa sana, maana wanashindwa kuonesha michuano mikubwa na yenye mvuto na hii inapelekea kuwashushia uweledi!
Na dstv wanakimbiza nchi nyingine tu ila kwa bongo wanapumulia mashine wana hali mbaya balaa, imefikia hatua azam anamzidi mara mbili bei ya king'amuziNa tulio na ving'amuzi tumenunua kwa ajili ya ligi kuu,kwa style hii DSTV wataendelea kutukimbiza kwa vifurushi ,huwezi kuamini bongo tu vifurushi vya dstv ndo ghali Ila kwa nchi zingine bei kama za Azam tu
Afcon ina mvuto? Afcon ilikuwa zamani sio sasa
mkuu labda unazungumzia dishi ,kwa dishi sawa Ila kwa vifurushi vya mpira dstv wana beiNa dstv wanakimbiza nchi nyingine tu ila kwa bongo wanapumulia mashine wana hali mbaya balaa, imefikia hatua azam anamzidi mara mbili bei ya king'amuzi
Nakubaliana na weweAZAM ukimuondolea NBC Premier League anakuwa katepeta
Ndio maana nikaandika king'amuzi mkuu,mkuu labda unazungumzia dishi ,kwa dishi sawa Ila kwa vifurushi vya mpira dstv wana bei
Sasa hivi wanataka kuleta chaneli ya 3 ya michezo kwajili ya kukava michezo mingi lakini badoAzam kila kitu wanafanya nusu nusu,nina king'amuzi chao kwa ajili ya ligi kuu ya Tanzania ,ila hata bundasliga wanayojisifia hawaonyeshi mechi zote
Unahamaje DSTV MKUU?Kwanini iwe kitonga? Walipe pesa waoneshe na sisi si tunawalipa? Kama hawaoneshi nitalipia dstv maana niliwahama Kwanza.
Ukweli utakuweka huru mkuu, Afcon ya leo sio kama zamani. Kuhusu azam kuonyesha hiyo watajijua wenyewe ila nilijibu kuhusu mvutoUzi haukuhusu pita kimya
wangetulia na kimoja kwa ufanisi ,ligi kuu sawa ,Ila hizi ligi za nje ratiba hazieleweki,Mara waonyeshe za Belgium Mara bundasliga wanarukia rukia tuSasa hivi wanataka kuleta chaneli ya 3 ya michezo kwajili ya kukava michezo mingi lakini bado
Kuna sehemu uliulizwa kuhusu mvuto? Walimu wako walipata sana tabuUkweli utakuweka huru mkuu, Afcon ya leo sio kama zamani. Kuhusu azam kuonyesha hiyo watajijua wenyewe ila nilijibu kuhusu mvuto
Unaangalia Bei ya king'amuzi TU?au malipo ya mwezi?acha uboya...Kama huijui DSTV kanywe MIRINDA KWA MANGI MWAMBIE AKUPE NA CHUPA UENDE NAYONa dstv wanakimbiza nchi nyingine tu ila kwa bongo wanapumulia mashine wana hali mbaya balaa, imefikia hatua azam anamzidi mara mbili bei ya king'amuzi
Sio kwamba tuinaiponda ni bei tuu mkuu ya vifurushiTunaipondaga tu Dstv lakini hakuna king'amuzi cha kushindana na Dstv full stop
Kabisa upo sahihi mkuu,AFCON ilikuwa ile ya akina Babangida,mboma,mark fish,amokachi,taribo west,papa bouba diop,Hosam hasanAfcon ina mvuto? Afcon ilikuwa zamani sio sasa
Sio kwamba tuinaiponda ni bei tuu mkuu ya vifurushi
Usilazimishe kila mtu ajue uchoko wako, nimesema bei ya ving'amuzi hayo ya vifurushi uyaseme wewe bila kuniquote, dstv hadi anafikiria kufunga oparesheni zake tz kwa taarifa yako, ving'amuzi anauza 59000 bado wateja shida maana hawamudu malipo ya mwezi sasa kama mteja hamudu malipo ya mwezi dstv atapona vipi?Unaangalia Bei ya king'amuzi TU?au malipo ya mwezi?acha uboya...Kama huijui DSTV kanywe MIRINDA KWA MANGI MWAMBIE AKUPE NA CHUPA UENDE NAYO