ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
DStv so much more...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani rahisi?Sawa lakini azam kama anashindwa kuonesha uefa walau afcon alitakiwa aoneshe yaani aweke mzigo apate haki za matangazo
Hujui unachoongea
Siyo suala la kuweka mzigo tuSawa lakini azam kama anashindwa kuonesha uefa walau afcon alitakiwa aoneshe yaani aweke mzigo apate haki za matangazo
Hela inayotolewa na Multichoice kuonesha EPL, UEFA, EUROPA ni kubwa kuliko utajiri Cash wa Azam.Sawa lakini azam kama anashindwa kuonesha uefa walau afcon alitakiwa aoneshe yaani aweke mzigo apate haki za matangazo
Si ana Ligue 1, BundesligaAZAM ukimuondolea NBC Premier League anakuwa katepeta
Siku wakifikisha subscribers 500K na wakapewa FTA watashusha beiNa tulio na ving'amuzi tumenunua kwa ajili ya ligi kuu,kwa style hii DSTV wataendelea kutukimbiza kwa vifurushi ,huwezi kuamini bongo tu vifurushi vya dstv ndo ghali Ila kwa nchi zingine bei kama za Azam tu
Duh hii sasa fujo
Hiyo ya kufunga HUO NI UMBEA NA UONGO WADANGANYE WASIO IJUA DSTV....NA PIA KAMA WEWE HUWEZ LIPIA HILO NI TATIZO LAKO...Usilazimishe kila mtu ajue uchoko wako, nimesema bei ya ving'amuzi hayo ya vifurushi uyaseme wewe bila kuniquote, dstv hadi anafikiria kufunga oparesheni zake tz kwa taarifa yako, ving'amuzi anauza 59000 bado wateja shida maana hawamudu malipo ya mwezi sasa kama mteja hamudu malipo ya mwezi dstv atapona vipi?
Punguza uongo DStv bado yupo sana bongoUsilazimishe kila mtu ajue uchoko wako, nimesema bei ya ving'amuzi hayo ya vifurushi uyaseme wewe bila kuniquote, dstv hadi anafikiria kufunga oparesheni zake tz kwa taarifa yako, ving'amuzi anauza 59000 bado wateja shida maana hawamudu malipo ya mwezi sasa kama mteja hamudu malipo ya mwezi dstv atapona vipi?
Azam hawajawahi kupata hiyo haki na hawewezi kwa kuwa huwa zinatolewa kwa Tv za Taifa husika, ndio maana wanarusha kupitia TVZ.Kuna tetesi kuwa AzamTv hawana haki ya kuonyesha michuano ya Afcon 2022 itakyofanyika mapema mwakani!
Kama ni kweli basi, AzamTv watakuwa wamefeli pakubwa sana, maana wanashindwa kuonesha michuano mikubwa na yenye mvuto na hii inapelekea kuwashushia uweledi!
Azam hawajawahi kupata hiyo haki na hawewezi kwa kuwa huwa zinatolewa kwa Tv za Taifa husika, ndio maana wanarusha kupitia TVZ.
Vv
supersport nayo ni tv ya taifa?
Supersport nayo ni tv ya taifa?Azam hawajawahi kupata hiyo haki na hawewezi kwa kuwa huwa zinatolewa kwa Tv za Taifa husika, ndio maana wanarusha kupitia TVZ.
Vv
Hata mimi najua hivyo,Azam wataungana na Tv Zenj tutacheki mbungi kama kawa.Azam hawajawahi kupata hiyo haki na hawewezi kwa kuwa huwa zinatolewa kwa Tv za Taifa husika, ndio maana wanarusha kupitia TVZ.
Vv
kwanini kuna tofauti kila nchi? Hawa dstv Nigeria vifurushi viko cheap sanaSiku wakifikisha subscribers 500K na wakapewa FTA watashusha bei
Sababu kule watumiaji ni wengikwanini kuna tofauti kila nchi? Hawa dstv Nigeria vifurushi viko cheap sana
Sio kweli DStv wajanja kibiashara, wanashusha bei ya dishi wanakubana kwenye kulipia king'amuzi, ni kama walivyofanya makampuni ya simu, kutoa line bure wanakubana kwenye vocha na vifurushiNa dstv wanakimbiza nchi nyingine tu ila kwa bongo wanapumulia mashine wana hali mbaya balaa, imefikia hatua azam anamzidi mara mbili bei ya king'amuzi
Labda useme Azam ukimuondolea soka la nyumbani....AZAM ukimuondolea NBC Premier League anakuwa katepeta
Sasa wanakubana vipi ikiwa unaweza kuweka ndani na usilipie?Sio kweli DStv wajanja kibiashara, wanashusha bei ya dishi wanakubana kwenye kulipia king'amuzi, ni kama walivyofanya makampuni ya simu, kutoa line bure wanakubana kwenye vocha na vifurushi