changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
The UEFA champions leagueDstv nae ni EPL ukitoa hivyo hapa bongo hana jipya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The UEFA champions leagueDstv nae ni EPL ukitoa hivyo hapa bongo hana jipya
Umesahau Ueropa league pia a.k.a FutuhiUkitoa DSTV, king'amuzi kinachofuata kwa kuonyesha mashindano mengi ya Football ni Startimes Tena kwa HD ya ubora, wanaonyesha Bundasiliga, Laliga, Chinese super league, Copa Italia, Euro world Cup qualify, Asia world Cup qualify, Euro, Word cup, kwa upande wa Africa wanaonyesha ligi ya Kenya na Uganda Na pia wametangaza kwamba wataonyesha AFCON mechi zote 52
Msimu huu hawaonyeshi Europe LigueUmesahau Ueropa league pia a.k.a Futuhi
Dah aisee kumbe msimu huu wamekata moto.Msimu huu hawaonyeshi Europe Ligue
Hao Tff Na bodi ya ligi ni vichwa umiza😂😂😂NBC premier League unaangalia kibanda umiza
Hakuna cha mechi zote!!wao utaona kuna baadhi ya mechi tu ndio watakuwa wanaonyesha, tumeshawazoea tu!!lWanaonesha bana,mechi zote.View attachment 2073734
Azam wanarusha kupitia UTV NA ZBC 2AFCON ni kama wanavofanyaga Kombe la Dunia. Television za Taifa ndo zinapewa haki ya kurusha
Wamesema zote mkuu soma bango vizuriHakuna cha mechi zote!!wao utaona kuna baadhi ya mechi tu ndio watakuwa wanaonyesha, tumeshawazoea tu!!l
Ndio huwa wanatangaza hivyo hata mwaka jana euro 2020, kombe la dunia, lakini unakuta sio kweli, unakuta wana haki ya kuonyesha lakini sio mechi zote, michuano ikishaanza tu, kuna baadhi ya mechi hawaonyeshi!!labda kama waanze kwa muchuano hii,Wamesema zote mkuu soma bango vizuri
Ni kweli jamaa wababaishaji sana, watajisifu mechi zote live lakini mashindano yakianza wanachagua mechiNdio huwa wanatangaza hivyo hata mwaka jana euro 2020, kombe la dunia, lakini unakuta sio kweli, unakuta wana haki ya kuonyesha lakini sio mechi zote, michuano ikishaanza tu, kuna baadhi ya mechi hawaonyeshi!!labda kama waanze kwa muchuano hii,
Tuwape muda.Ni kweli jamaa wababaishaji sana, watajisifu mechi zote live lakini mashindano yakianza wanachagua mechi
Ni kweli tunawapa muda lakini kutokana na uzoefu tulionao hakuna hata mashindano ya euro, world cup na afcon ambayo walishawahi kuonyesha mechi zote za mashindano.labda waanze sasa.Tuwape muda.
Kikubwa Azam wamesema wataonyesha mechi zote, sasa tusubiri.
Mechi moja moja sana lkn sio zote.Kama unapata channel ya Rwanda na KBC ya Kenya huwa wanaonyesha
Mmh ngoja tuone, huwa hawaaminiki.
Wamejitahidi, kongole kwao, sema inabidi hizo chaneli wazifanye HD
Imekuaje ukashindwa kisimbuzi cha Canal mkuu?Kwani kuna zaidi ya EPL kwenye soka!!!??
EPL ndo kila kitu