Mkuu ni busara sasa uka update Uzi wako maana Azam wataonesha hiyo michuano bure kabisa na LiveKuna tetesi kuwa AzamTv hawana haki ya kuonyesha michuano ya Afcon 2022 itakyofanyika mapema mwakani!
Kama ni kweli basi, AzamTv watakuwa wamefeli pakubwa sana, maana wanashindwa kuonesha michuano mikubwa na yenye mvuto na hii inapelekea kuwashushia uweledi!
Ndio maana nikasema tetesiMkuu ni busara sasa uka update Uzi wako maana Azam wataonesha hiyo michuano bure kabisa na Live
Canal malipo yake kiasi gani mkuu kwa channel za michezoImekuaje ukashindwa kisimbuzi cha Canal mkuu?
42,500 kwa mweziCanal malipo yake kiasi gani mkuu kwa channel za michezo
Kumbe affordable na signal hazisumbuagi42,500 kwa mwezi
Hazisumbui hata kidogo, mechi zote utaona huko ila wengi wanashindwa lugha ya KifaransaKumbe affordable na signal hazisumbuagi
😁😁😁😁HAPO KWENYE MZIGO NDIO KIPENGELE MASTA
Ngoja nikitafuteHazisumbui hata kidogo, mechi zote utaona huko ila wengi wanashindwa lugha ya Kifaransa
Hata robo mechi ameshindwaTBC kashindwa kabisa kuonesha hata mechi moja moja
Tumewaambia Azam ni baba lao ujakaza 20,000/ unapata mipira kibao Azam 1 &2 HD bado kuna ZBC kule Zenj hawana masharti na Startimes bado kuna UTVAzam wanarusha kupitia UTV NA ZBC 2
Unaongea nini wew mbn sasa wanaonyesha bana tena Ni UTV & ZBC2
Kujeni Dstv mpate matangazo quality na wachambuzi mahili akina Asamoh Gyan na Malegendary wengine nguli wa Mpira barani Africa
Tumewaambia Azam ni baba lao ujakaza 20,000/ unapata mipira kibao Azam 1 &2 HD bado kuna ZBC kule Zenj hawana masharti na Startimes bado kuna UTV
wadihame Azam
Channel gani?
Mkuu kiinglish kinapanda lakini [emoji3][emoji3]Supersports 222! Kitu HD,hapo unakutana na Malegendary wote wa Mpira barani Africa unaowajua wewe wakichambua[emoji3][emoji3]
Asante Nyamizi nitajaribu maana niliacha kuangalia Mpira kombe la Africa enzi za kina Roger Milla sijui ni 1984, Azam nikilipa 35,000 nikigombania na watoto remote napata ID, Discover na filamu ndio maana kweli ZBC 2 hawana HDNjoo Dstv kitu Supersports HD na wachambuzi mahiri Barani Africa,Unaanzaje kuangalia ZBC utadhani unaangalia TV enzi za miaka ya 2000 huko.