shuka chini
JF-Expert Member
- Feb 27, 2024
- 842
- 1,928
Niko kibandaumiza hapa nacheki hiyo game kupitia chaneli inaitwa RTNC, iko fresh H
Acha uongo mpumbavu wewe hata mmi nipo kibanda umiza hakun picha nzuriNiko kibandaumiza hapa nacheki hiyo game kupitia chaneli inaitwa RTNC, iko fresh HD
Huwezi kutoa hoja Hadi utukane?? Akili yako ndo imeishia hapo?Acha uongo mpumbavu wewe hata mmi nipo kibanda umiza hakun picha nzuri
sasa iy9 RTNC si ndio iyo Azam wameclone kwaoNiko kibandaumiza hapa nacheki hiyo game kupitia chaneli inaitwa RTNC, iko fresh HD
Nipo home apa naangalia iyo channel ni uwozo mtupuHutaki sasa au
Ndiyo maana nikasema na washirika waoAzam hawakupeleka production yao huko, probably wamechukua pahala
NdioUko kanda ya ziwa.?
Najua wanachukua kwa washirika hao ni wajibu wao kuhakikisha tunapata kilicho boraKwamba umeshindwa kujiongeza kabisa Azam wanapokea tu hayo matangazo sio wao wanaorekodi?
😀😀😀😀Kumbe Congo DRC nayo ni timu ya hovyo namna hii? Theo Bongonda amefanya Utopolo gani sasa pale?
Itakuwa wote wanachukua kwenye source mojaSio Azam tu yani karibia kila sources zinazoonesha hii mechi hakuna yenye Quality nzuri.
Sehemu nyingine ndio hata sauti hamna ngoma inapigwa kibubu bubu
Kwani aliyekuambia nimetukana ni nani.Nioneshe tusi hapoHuwezi kutoa hoja Hadi utukane?? Akili yako ndo imeishia hapo?
utedachi we.Vya bule kudoroja, nunua Dstv.
HD ipi wkt iko kiwakiNiko kibandaumiza hapa nacheki hiyo game kupitia chaneli inaitwa RTNC, iko fresh HD
Jamaa muongo sana itakuwa hata HD haijuiAcha uongo mpumbavu wewe hata mmi nipo kibanda umiza hakun picha nzuri
Naunga mkono hoja 🤣Sio Azam tu yani karibia kila sources zinazoonesha hii mechi hakuna yenye Quality nzuri.
Sehemu nyingine ndio hata sauti hamna ngoma inapigwa kibubu bubu
Yaani Azam wamedesa huko, wanatuua macho hawa wapuuzi.Niko kibandaumiza hapa nacheki hiyo game kupitia chaneli inaitwa RTNC, iko fresh HD
Vya bure vina madhara.utedachi we.
Sitaki kuamini kabisa kama hiki kinachooneshwa na RTNC kwako unaona ipo sawa. Hakuna cha HD wala nini halafu inavyostaki staki sasaNiko kibandaumiza hapa nacheki hiyo game kupitia chaneli inaitwa RTNC, iko fresh HD